Habari kwa Picha

Habari kwa Picha

Kuhusu Serie A, Juventus bado wanaendeleza utawala wao, lakini kitendo cha kumsajili hadi Cristiano Ronaldo ni mahitaji tao ya kutaka kutamba kwenye soka la Ulaya.

Sasa mabosi wa timu hiyo wanafikiria kubadili kocha huko wakiamini kwa kumnsa Deschamps anayeinoa timu ya taifa ya Ufaransa kwa sasa itawasaidia kukamilisha ule mpango wao wa kumrudisha Pogba kwenye kikosi chao.
chizi
 
Akili unazo ila "unajitia" hazipo ee. Kichwa cha uzi kinasema habari kwa picha na picha nimeweka na habari husika.
Hilo povu la siasani, jukwaa hili si la povu mkulu.
Jinsia ya mnunuzi wa kijapani, mahana nili m- perceive kama ke.
 
Chelsea imemtaja kocha msaidizi wa England, Steve Holland kwamba ndiye atakayemrithi kocha wa sasa, Maurizio Sarri mara atakapotimuliwa kufikia mwishoni mwa msimu.

Kibarua cha kocha huyo kiko kwenye hali mbaya licha ya kuiwezesha Chelsea kufuzu hatua ya 16 Bora ya Europa League, lakini zaidi klabu inadai kuumizwa na matokeo ya kutolewa kwenye Kombe la FA na Manchester United pamoja na kipigo cha mabao 6-0 dhidi ya City.
 
Chelsea imemtaja kocha msaidizi wa England, Steve Holland kwamba ndiye atakayemrithi kocha wa sasa, Maurizio Sarri mara atakapotimuliwa kufikia mwishoni mwa msimu.

Kibarua cha kocha huyo kiko kwenye hali mbaya licha ya kuiwezesha Chelsea kufuzu hatua ya 16 Bora ya Europa League, lakini zaidi klabu inadai kuumizwa na matokeo ya kutolewa kwenye Kombe la FA na Manchester United pamoja na kipigo cha mabao 6-0 dhidi ya City.
nakupenda
 
Sarri atakuwa kwenye wiki ngumu itakayoamua hatma yake kuanzia leo, kwanza anakutana na kikosi cha Pep Guardiola katika fainali ya Carabao Cup kwenye Uwanja wa Wembly kabla ya kuifuata Spurs mechi ya Ligi Kuu.

Endapo Chelsea itashindwa kuchanga vizuri karata zake, Gazeti la Telegraph liliripoti kwamba mabosi watamuita Holland kuja kuokoa klabu kwa mechi zilizosalia.
nakupenda
 
Sarri atakuwa kwenye wiki ngumu itakayoamua hatma yake kuanzia leo, kwanza anakutana na kikosi cha Pep Guardiola katika fainali ya Carabao Cup kwenye Uwanja wa Wembly kabla ya kuifuata Spurs mechi ya Ligi Kuu.

Endapo Chelsea itashindwa kuchanga vizuri karata zake, Gazeti la Telegraph liliripoti kwamba mabosi watamuita Holland kuja kuokoa klabu kwa mechi zilizosalia.
💘👾
 
Ni kaka yangu ninaye mfuata kwa mara ya tano. tulitofautiana tangu mwezi wa sita mwaka huu kutokana na kushindwa kutimiza ahadi ya kumpatia pesa ya mradi wa kufuga ng'ombe wa maziwa.
Nikiwa likizo ya desemba mwaka jana kaka yangu huyo alinipa wazo hilo katika mchanganuo wake alisema anahitaji kiasi cha milion 3 na laki tisa kukamilisha kila kitu. Nili haidi kuchangia sh. milioni 1 na laki 5 kwa kipindi cha miezi mitano ya mwanzo ya mwaka huu. Ahadi hiyo ilitokana na matumaini ya barua ya kupandishwa daraja la mshahara wangu (mimi ni mtumishi wa halmashauri idara ya afya) kiasi kilicho oneshwa kwenye baruwa hiyo kingeniwezesha kutekeleza ahadi yangu kwa kaka, lakini la kusikitisha ni kuwa tangu nipokee barua ile, novemba mwaka jana sijaona badiliko lolote la mshahara wangu na hivyo kushindwa kutekeleza ahadi hiyo. wenzangu sita nilio pokea nao barua ni wawili tu walio badilishiwa mishahara na mwezi wa tatu watumishi wengine walipewa baruwa zenye kuwapandisha madaraja pasipo mishahara kubadilika.

Ndugu zangu kushindwa kutimiza ahadi ile kaka yangu hakunielewa hasa pale nilipo punguza kiasi kidogo cha pesa nilicho kuwa namtumia kusapoti vijana wake wanao soma (mwanzoni aliweza kusomesha vijana wake kwa kulima pamba ambayo bei yake kwa sasa imeshuka na haitabiliki), nilipunguza msaada huo kwani nami humo katikati nilianzisha familia yangu.

Juzi nilikuwa kijijini kumsalimia mametu, nilikuta kakangu kanishitaki kwa mama jinsi nilivo mdanganya, kakangu ni mtu anaye aminika sana na ni kiongozi wa ccm, nyumbani kapamba bendera za kijani za kutosha. mama alinieleza malalamiko yale nikawaeleza jinsi selekali ya ccm ilivyo tutapeli,jinsi tunavo lishwa ugali kwa picha ya samaki, niliwaonesha na baruwa ile yenye figure ambazo sikuwahi kupokea. nili mwambia kaka yangu kwa kuikumbatia ccm ndo anakuza matatizo haya, nilimweleza jinsi selekali ilivyo na wajibu wa kumtafutia soko zuri la pamba yake hivyo tupambane kwa pamoja kuiondoa serekali ya ccm inayo tuhujumu. nime mweleza wazi kuwa sitaweza kumsaidia hasa akiendelea kuikumbatia ccm. Barua ya kupanda daraja ilimgusa sana, hadi akaniuliza kuwa nimecheleweshwa kwa muda gani nikamwambia asome tarehe kwani hadi sasa salio linasoma la zamani,akatikisa kichwa akiashiria kusikitika. Jana jioni nimepokea taarifa kuwa bendera zote pale nyumbani kazishusha!.

Natoa rai kwa watumishi wengine wa idara zote wanao lishwa ugali kwa picha ya samaki, ambao hawajapanda daraja ingawa sifa za kupanda wanazo (maana hata baruwa ya kupanda daraja hadi itoke ni mbinde) wawaelimishe wategemezi wao jinsi serekali ya ccm inavyo sababisha bajeti zao kuwa ngumu, wawaambie kwa vielelezo kama vipo wataeleweka zaidi, wawaeleze chanzo cha tatizo kilipo nao watawaelewa.
Hapa hujaitendea haki title ya thread Numbisa sie wengine wavivu wakusoma mistari zaidi ya miwili.
 
Hata hivyo, Sarri na msaidizi wake, Gianfranco Zola wamepewa muda kujitathmini, lakini Chelsea wenyewe wanamtaka Holland iwapo FA itakubali afundishe timu ya taifa na kuwa na majukumu mengine, Stamford Bridge.
 
Hata hivyo, Sarri na msaidizi wake, Gianfranco Zola wamepewa muda kujitathmini, lakini Chelsea wenyewe wanamtaka Holland iwapo FA itakubali afundishe timu ya taifa na kuwa na majukumu mengine, Stamford Bridge.
Aisee mods huyu mteja wenu ni jini au..?
 
#BRAKINGNEWS : Watu tisa ambao ni wataalam wa Idara ya Ardhi wamefariki dunia baada ya gari aina ya Land Cruiser walilokuwa wakisafiria kumshinda nguvu dereva na kutumbukia mtoni wilayani Kilombero mkoani Morogoro. Mkuu wa wilaya ya Kilombero James Ihunyo amethibitisha na kusema gari hiyo ilikuwa na watu 13 ambapo 9 ndio wamefariki huku waliojeruhiwa wamepelekwa katika Hospitali ya St.Francis kwa ajili ya kupatiwa matibabu.View attachment 1030691
kwenye picha TOYOTA SURF

kwenye maelezo TOYOTA LAND CRUISER


hahahaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wajuaji mpo vizuri
yenyewe ni hiyo hapo
Screenshot_20190224-194727.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja tembo adindishe hapo ndo atajua acholile kachora
 
Back
Top Bottom