Habari Leo na Daily News ni magazeti binafsi ya CCM?

Habari Leo na Daily News ni magazeti binafsi ya CCM?

Ashasembeko

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2017
Posts
225
Reaction score
910
Leo tuwapumzishe TBC kidogo. Nimekua nikifuatilia mwenendo wa magazeti ya serikali na nimesikitishwa na upendeleo wa wazi unaofanywa. Kwa msiojua kisheria, Mhariri mkuu (chief editor) wa magazeti ya serikali ni Rais wa Tanzania. Kwa hili, hutakiwi kushangaa kuona habari za kusifu serikali kila siku.

Ila kinachosikitisha ni kutumia magazeti haya ya serikali yanayolipiwa kodi na watanzania kwa manufaa binafsi ya Chama tawala. Angalia mfano huu hapa chini. Kwa takribani mwezi mmoja straight, headline ya magazeti haya ya serikali yamemhusu JPM na CCM yake. Je vyama vengine havistahili kupata nafasi hii?

Yule Mkuu wa wahiriri hapa hawezi kuona kuna tatizo, ila TBC wakifukuzwa ndio anakemea. Kinachosikitisha zaidi ni kuwa hata hivyo vyama vengine wanalipia kodi haya magazeti sa kwanini wasipewe fair coverage?

Ndio maana hayauziki, yaani isingekua kodi za wanachi haya magazeti yangekufa muda sana. Hata wakati wa Kikwete angalau wapinzani walikuwa wanapata nafasi. This toxic, wahariri wajitathmini.

Mifano hii hapa
1599053020710.png
1599053058861.png

1599053246718.png
 
JPM hiyo ni sera au kula, tunataka kusikia sera na si vipasho vya kwenye vijora huko mitaanini mzee. Wewe unaonekana ni kiongozi dhaifu kuliko hata huyo uliyetaka kumpeleka kibra, na sasa yupo hai kabisa, Lissu alienda ulaya kupata matibabu na sio km unavyotoa sababu zako za kimbea, ingependeza tukisikia ukiomba msamaha kwa watanzania kwa kushindwa kuweka wazi mpaka sasa ni nani aliyehusika ktk tukio la kutaka kumuua Lissu, napia ulitakiwa kuomba radhi kwa kushindwa kuufanya mji wa dodoma kuwa salama kuliko mahali popote pale, maana tukio lilitokea dodoma, ambapo ni makao makuu ya nchi.
 
Mzee Baba kashaanza kulalamika kuwa anatukanwa na kuvumilia. Akiishiwa uvumilivu mbona hali itakuwa ni mbaya kutokana na rafu nyingi kutoka kwa vikaragosi vyake.
 
Anatamani kweli kusingekuwa na uchaguzi, maana kina Lissu wanamponda kweli na hawezi kutuma polisi wamkamate.
 
Ila ni aibu kukuta mtu anagombea Urais na alishakuwa tayari anaropoka kama vile MTU anayegombea uenyekiti wa mtaa kwa Mara ya kwanza
Screenshot_20200902-110035.jpg
 
Back
Top Bottom