Shirika la Anga za juu la Marekani NASA limeweza kuona na kubaini jiwe kubwa asteroid lenye ukubwa kama nch yetu linakuja kwa kasi kuelekea sayari yetu. Kuna uwezekano likagonga dunia yetu na kuleta mtetemeko wa hatarii na kuingilia na kuaribu mipangilio ya kila siku ya maisha ya mwanadamu.
NASA inawasiwasi jiwe hili linaweza kufika orbit ya dunia mwanzoni mwezi wa tatu na kugonga dunia yetu mwezi wa nne.
Ndio najiuliza kila wakati liver inapokaribia kupata ubingwa EPL kuna vizingiti tu. Hivi kwa nini?
Ngusero
NASA inawasiwasi jiwe hili linaweza kufika orbit ya dunia mwanzoni mwezi wa tatu na kugonga dunia yetu mwezi wa nne.
Ndio najiuliza kila wakati liver inapokaribia kupata ubingwa EPL kuna vizingiti tu. Hivi kwa nini?
Ngusero