Usihofu bana [emoji123] Mimi nami nimefanya utafiti wangu nimegundua wala kiti moto maarufu ukikaa nao darasani HUWASHINDI KWA AKILI [emoji123] ref; Wahaya, Wachaga, Wanyakyusa, na wenyewe shule za seminary za Wakatoliki wanaongoza. Kwa ushindi [emoji106] nenda sasa mikoa ambayo huyo mdudu amepigwa ban utahakikisha utafiti wangu [emoji4]Nmelia sana kutokana na habari hii mbaya..! [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli sheikh wangu..! Ahsante kwa kunifumbua macho..! [emoji23] [emoji23]Usihofu bana [emoji123] Mimi nami nimefanya utafiti wangu nimegundua wala kiti moto maarufu ukikaa nao darasani HUWASHINDI KWA AKILI [emoji123] ref; Wahaya, Wachaga, Wanyakyusa, na wenyewe shule za seminary za Wakatoliki wanaongoza. Kwa ushindi [emoji106] nenda sasa mikoa ambayo huyo mdudu amepigwa ban utahakikisha utafiti wangu [emoji4]
Hata mimi nimeshangaa na hii taarifa. Nguruwe anakulaje kinyesi cha binadamu wakati wengi wanaochinjwa kwenye mabaa mabli mabali ni wale wanaofugwa kwenye enclosures???? Au kuna nguruwe wanajitafutia chakula kama kuku? Sijui labda. Ila nimeona taarifa ina walakini kidogo.Kwanza makinika nami vizuri kuhusu hizi picture hapa chini:-
View attachment 587398
View attachment 587399
View attachment 587400
View attachment 587401
View attachment 587402
Sasa twende kwenye upotoshaji wa SUA kuhusu huyu mdudu:-
Nchini Tanzania nyama ya nguruwe ni maarufu katika maeneo mbali mbali ya starehe na imepewa majina mengi kama vile mkuu wa meza, kiti moto na mengineyo mengi.
Hata hivyo utafiti wa kisayansi kutoka chuo kikuu cha kilimo cha sokoine( SUA) umebaini kuwa walaji wa nyama ya nguruwe wako katika hatari ya kupata magonjwa kama vile kifafa kutokana na mnyoo Tegu uliopo kwenye nyama ya nguruwe.
Mwandishi wa BBC Maximiliana Mtenga amezungumza na mtafiti wa magonjwa ya binadamu na wanyama Dkt. Boa Mathias Emanuel kutoka chuo kikuu cha SUA na kwanza amemuuliza ueneaji wa ugonjwa huu.
SUA wanafanya makusudi sana.
Mtafiti inabidi afanyiwe utafitiHuo ni upotoshaji kabisa
Ona virutubisho ndani ya nyama ya mduduKweli sheikh wangu..! Ahsante kwa kunifumbua macho..! [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
We kweli utakuwa mwehu mpevu. Fwatilia performance ya malecturer wa vyuo vikuu vya serikali tanzania. Usiropoke tu.Mkuu SUA imejaza division 3 nyingi ambazo ni rejects ya Mzumbe, UD, Muhimbil hivyo usishangae katika hilo
Hosea 4:6. "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa..." Unaleta ubishi kwenye utafiti wa kisayansi, kisa uendelee kula nyama ya nguruwe!!!Mkuu SUA imejaza division 3 nyingi ambazo ni rejects ya Mzumbe, UD, Muhimbil hivyo usishangae katika hilo
Kama hujui MWENYEZI alipo maliza Uumbaji alisema vyoote ni VYEMA [emoji106] [emoji123] unaangamia kwa kukosa maarifa hadi unawaona watafiti wa sua ni wakweli kuliko MWENYEZI [emoji15] [emoji86]Hosea 4:6. "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa..." Unaleta ubishi kwenye utafiti wa kisayansi, kisa uendelee kula nyama ya nguruwe!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
kufikiri kwa elimu ndogo: hivi inawezekana vipi mnyoo kuweza kuishi kwenye joto kali la moto? kwani nyama hiyo huliwa mbichi? Mtu anaweza kuchochewa na imani yake ya kidini kwa kuwa hali hiyo nyama akaamua kupotosha kwa makusudi.Kwanza makinika nami vizuri kuhusu hizi picture hapa chini:-
View attachment 587398
View attachment 587399
View attachment 587400
View attachment 587401
View attachment 587402
Sasa twende kwenye upotoshaji wa SUA kuhusu huyu mdudu:-
Nchini Tanzania nyama ya nguruwe ni maarufu katika maeneo mbali mbali ya starehe na imepewa majina mengi kama vile mkuu wa meza, kiti moto na mengineyo mengi.
Hata hivyo utafiti wa kisayansi kutoka chuo kikuu cha kilimo cha sokoine( SUA) umebaini kuwa walaji wa nyama ya nguruwe wako katika hatari ya kupata magonjwa kama vile kifafa kutokana na mnyoo Tegu uliopo kwenye nyama ya nguruwe.
Mwandishi wa BBC Maximiliana Mtenga amezungumza na mtafiti wa magonjwa ya binadamu na wanyama Dkt. Boa Mathias Emanuel kutoka chuo kikuu cha SUA na kwanza amemuuliza ueneaji wa ugonjwa huu.
SUA wanafanya makusudi sana.
Teh teh teh Chair fire
Teh teh teh Chair fire
Basi upishi wa nyumbani ndio alternative.Ili kusimamia nyama iive vizuri.Ni sifuri, inachemshwa ukipewa ile spoku ya kuchagua utajua tu kama haijaiva, alafu wanaipiga kwenye wese na kama unataka rojo wanaipiga tena kwenye sorce, sasa uyo mnyoo ana chomoaje hapo?