Habari mbaya kwa walaji wa Kitimoto: Huenda wengi wao wakaja kupata kifafa!

Habari mbaya kwa walaji wa Kitimoto: Huenda wengi wao wakaja kupata kifafa!

Nmelia sana kutokana na habari hii mbaya..! [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22]

Sent using Jamii Forums mobile app
Usihofu bana [emoji123] Mimi nami nimefanya utafiti wangu nimegundua wala kiti moto maarufu ukikaa nao darasani HUWASHINDI KWA AKILI [emoji123] ref; Wahaya, Wachaga, Wanyakyusa, na wenyewe shule za seminary za Wakatoliki wanaongoza. Kwa ushindi [emoji106] nenda sasa mikoa ambayo huyo mdudu amepigwa ban utahakikisha utafiti wangu [emoji4]
 
Usihofu bana [emoji123] Mimi nami nimefanya utafiti wangu nimegundua wala kiti moto maarufu ukikaa nao darasani HUWASHINDI KWA AKILI [emoji123] ref; Wahaya, Wachaga, Wanyakyusa, na wenyewe shule za seminary za Wakatoliki wanaongoza. Kwa ushindi [emoji106] nenda sasa mikoa ambayo huyo mdudu amepigwa ban utahakikisha utafiti wangu [emoji4]
Kweli sheikh wangu..! Ahsante kwa kunifumbua macho..! [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza makinika nami vizuri kuhusu hizi picture hapa chini:-

View attachment 587398

View attachment 587399

View attachment 587400

View attachment 587401

View attachment 587402



Sasa twende kwenye upotoshaji wa SUA kuhusu huyu mdudu:-

Nchini Tanzania nyama ya nguruwe ni maarufu katika maeneo mbali mbali ya starehe na imepewa majina mengi kama vile mkuu wa meza, kiti moto na mengineyo mengi.

Hata hivyo utafiti wa kisayansi kutoka chuo kikuu cha kilimo cha sokoine( SUA) umebaini kuwa walaji wa nyama ya nguruwe wako katika hatari ya kupata magonjwa kama vile kifafa kutokana na mnyoo Tegu uliopo kwenye nyama ya nguruwe.

Mwandishi wa BBC Maximiliana Mtenga amezungumza na mtafiti wa magonjwa ya binadamu na wanyama Dkt. Boa Mathias Emanuel kutoka chuo kikuu cha SUA na kwanza amemuuliza ueneaji wa ugonjwa huu.


SUA wanafanya makusudi sana.
Hata mimi nimeshangaa na hii taarifa. Nguruwe anakulaje kinyesi cha binadamu wakati wengi wanaochinjwa kwenye mabaa mabli mabali ni wale wanaofugwa kwenye enclosures???? Au kuna nguruwe wanajitafutia chakula kama kuku? Sijui labda. Ila nimeona taarifa ina walakini kidogo.
 
Tena wameponda sana ya kuchoma, wanasema ina minyooo ambayo haipati motomoto wa kutosha bora kuchemsha na kukaaanga! mie hata wakimdisi simuachi bora tegu ziniue potelea mbali!
 
Kweli sheikh wangu..! Ahsante kwa kunifumbua macho..! [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ona virutubisho ndani ya nyama ya mdudu
99b96661a34dd8195797b87d3e134778.jpg
[emoji118] [emoji117] wape Vijana hii dozi [emoji117]
3438f2315fc6aad33e37beb681e31a42.jpg
waboreshe akili zao wasije wakawa mazwazwa [emoji123] [emoji4]
 
Hosea 4:6. "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa..." Unaleta ubishi kwenye utafiti wa kisayansi, kisa uendelee kula nyama ya nguruwe!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hujui MWENYEZI alipo maliza Uumbaji alisema vyoote ni VYEMA [emoji106] [emoji123] unaangamia kwa kukosa maarifa hadi unawaona watafiti wa sua ni wakweli kuliko MWENYEZI [emoji15] [emoji86]
 
Utoto kweli, yani leo ndio wanajidai wavumbuzi au
 
Kwanza makinika nami vizuri kuhusu hizi picture hapa chini:-

View attachment 587398

View attachment 587399

View attachment 587400

View attachment 587401

View attachment 587402



Sasa twende kwenye upotoshaji wa SUA kuhusu huyu mdudu:-

Nchini Tanzania nyama ya nguruwe ni maarufu katika maeneo mbali mbali ya starehe na imepewa majina mengi kama vile mkuu wa meza, kiti moto na mengineyo mengi.

Hata hivyo utafiti wa kisayansi kutoka chuo kikuu cha kilimo cha sokoine( SUA) umebaini kuwa walaji wa nyama ya nguruwe wako katika hatari ya kupata magonjwa kama vile kifafa kutokana na mnyoo Tegu uliopo kwenye nyama ya nguruwe.

Mwandishi wa BBC Maximiliana Mtenga amezungumza na mtafiti wa magonjwa ya binadamu na wanyama Dkt. Boa Mathias Emanuel kutoka chuo kikuu cha SUA na kwanza amemuuliza ueneaji wa ugonjwa huu.


SUA wanafanya makusudi sana.
kufikiri kwa elimu ndogo: hivi inawezekana vipi mnyoo kuweza kuishi kwenye joto kali la moto? kwani nyama hiyo huliwa mbichi? Mtu anaweza kuchochewa na imani yake ya kidini kwa kuwa hali hiyo nyama akaamua kupotosha kwa makusudi.
 
Ni sifuri, inachemshwa ukipewa ile spoku ya kuchagua utajua tu kama haijaiva, alafu wanaipiga kwenye wese na kama unataka rojo wanaipiga tena kwenye sorce, sasa uyo mnyoo ana chomoaje hapo?
Basi upishi wa nyumbani ndio alternative.Ili kusimamia nyama iive vizuri.
 
DUH..........HII KITU HII

IWE NA TEGU AU HATA VIRUSI VYA UKIMWI, NGOMA HAIACHIKI KIRAHISI.
 
hii kitu unakula mpaka unatamani utafune na vidole......
 
Back
Top Bottom