Habari mbaya kwa walaji wa Kitimoto: Huenda wengi wao wakaja kupata kifafa!

Kilichopotoshwa ni nini sasa?Mbona hukueleza ukweli unaoujua kuhusu kitimoto?
 
KULA TU KWA UKAIDI WAKO LAKINI IMEKATAZWA
 
Mwaka wa ishirini nakula tena sanaaaa, sijaumwa na sitaumwa maana hao minyoo siyo rahisi kuwapata kwanza tegu kwa ng'ombe unapata. Tens usinikumbshe rift valley fever ilivyoua wamaasai ,nguruwe is safe by far
 
matokeo ya utafiti huu ni sawa na mtafiti kufanya utafiti wa kujua kama ndani ya binduki ya mlinzi kuna risa
Mkuu utakapo wewe umwa na maradhi ndio furaha ya Ma-Daktari kupata pesa kwa sababu utakapo shikw ana amradhi utakimbilia Hospitali na huko Hospitali utalipa pesa sasa wewe kula kitomoto faida yake utaiona mwisho mwake.
 
Kwa hiyo nguruwe ni kitu chema au haramu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnadanganyana sana mkuuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa unalialia nini? Ulitaka huo utafiti ufanywe na Mzumbe ndo uamini? Unamjua huyo tegu anayezungimziwa na jinsi anavyoweza kumwingia binadamu? Hebu wacha porojo zako hapa!
 
Mkuu utakapo wewe umwa na maradhi ndio furaha ya Ma-Daktari kupata pesa kwa sababu utakapo shikw ana amradhi utakimbilia Hospitali na huko Hospitali utalipa pesa sasa wewe kula kitomoto faida yake utaiona mwisho mwake.
nitajie mnyama anayeliwa na binadamu ambaye hawezi kuwa na deadly microbes au parasite wanaosababisha maafa kwa binadamu:
kuku?
bata?
ng'ombe?
ufahamu tu kuwa ni nguruwe tu ambaye yuko under poor managerial practice anayekuwa na hicho (cysts ) kinachoogopwa, vipi CB, TB, RVF, ANTHRAX kwa ng'ombe? vipi Salmonella kwa kuku?
 
Lakini wamesema asipoiva Vizuri ndo unaweza pata madhara hayo hasa wale wanaopendelea kuchoma ila akikaangwa/kupikwa Vizuri hakuna shida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tena wameponda sana ya kuchoma, wanasema ina minyooo ambayo haipati motomoto wa kutosha bora kuchemsha na kukaaanga! mie hata wakimdisi simuachi bora tegu ziniue potelea mbali!
Ni bora hao tegu kuliko kipindupindu,alafu mbona hawatupi takwimu sahihi zinazoonyesha idadi ya watu waliopata minyoo ya tegu kwa kula nyama ya nguruwe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tegu anaweza kupatikana kwenye wanyama wote hata mbwa! Isitoshe nguruwe hakuanza kuliwa leo bali toka kabla ya Yesu maanake alkwakuta na walikuwa wakiliwa tena kwa kuchomwa!
Niulizieni kwa huyo dr kuwa, ulaya, asia na hata america ni walaji wazuri sana wa kitoweo hiki na hakuna wagojwa wa kifafa walioeipotiwa kule. Ni kwanini walaji wa hapa bongo ndio wawe wahadhirika tu? Dr kasome tena sisi walaji hatudanganyiki na rudisha fedha ulizoomba kufanyia utafiti huu.
 
Nasoma hii taarifa..nikimaliza kusoma comments zote naenda kushushia na mkuu wa meza roast na Coca Cola baridi..[emoji2]
 
kwani ambao wametumia kipindi kirefu cha maisha yao wameathirika?more evidence should be applied
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…