Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani anazingatia kanuni bora za ufugaji na pia upishi...Ajabu ni kwamba huyo mtafiti ni muuzaji na mlaji mzuri wa kitimoto
kimsingi hata ng'ombe wanao minyoo wa aina hii wenye cyst wanaokaa kwenye nyama/misuli na moyo, ambapo kwa ng'ombe wanaitwa cystercercuss bovis (CB)na kwa nguruwe wanaitwa cystercercus cellulosae (CC). hivyo ngoma droo, wote walao nyama kwa ujumla wanakuwa katika hatari hii. pengine kwa nguruwe inaweza kuwa hatari kwakuwa sijajua machinjio ya nguruwe na ukaguzi wake na inaweza kuwa sio hatari kwakuwa maambukizi hayajafika kwenye eneo la mfugaji husika vilevile sio nyama zote za ng'ombe zinazoliwa zinapita kwenye machinjio pia.
stop worrying and start living.
Kifafa ni ugonjwa wa kurithi kama babu alikuwa analamba misamba barabarani na mjukuu lazma atailamba tu achana na kiti moto(EKITI KYOMULILO) We hakuna kiburudisho kama kitimoto mpaka Mizungu ikija Tanzania inashobokea kitimoto ACHA ELIMU ZENU ZA AJABU AJABU DEGREE MBILI AJILA HAKUNA KILA SIKU MAISHA MAGUMU. Acha tufe kwa kitimoto sio maisha magumu
sawa mkuu, hata hivyo bado hakuna hatari kwani dawa za minyoo zipo kwenye maduka ya dawa za mifugo, hata ngombe wanadungwa dawa hizi, na zaidi ya yote nguruwe ni white meat ambayo ni nzuri na salama kiafya ukilinganisha na ya ng'ombe ambayo ni red meat.wala red meat wapo kwenye hatari zaidi kuliko white meatTegu wa nguruwe ni hatari zaidi kwa kuwa wakipata chance ya kuingia kwenye ubongo wanaharibu network ya ubongo na madhara yake ndio kifafa na hata kichaa. Tegu wa ng'ombe wanaishia kwenye tumbo na kusababisha maumivu ya tumbo na kuharisha. Wao hawaingii kwenye ubongo. Hiyo ndio tofauti.
Hapa cha muhimu ni namna ya kuindaa kabla ya kuila! Inatakiwa ikaushwe kwenye mafuta mpaka cell zote zife zikiwemo za wadudu mbalimbali; na siyo nguruwe tu nyama zote zinatakiwa zipikwe vizuri ziive hasa!
Nadhani anazingatia kanuni bora za ufugaji na pia upishi...
Kifafa ni ugonjwa wa kurithi kama babu alikuwa analamba misamba barabarani na mjukuu lazma atailamba tu achana na kiti moto(EKITI KYOMULILO) We hakuna kiburudisho kama kitimoto mpaka Mizungu ikija Tanzania inashobokea kitimoto ACHA ELIMU ZENU ZA AJABU AJABU DEGREE MBILI AJILA HAKUNA KILA SIKU MAISHA MAGUMU. Acha tufe kwa kitimoto sio maisha magumu
Tegu wa nguruwe ni hatari zaidi kwa kuwa wakipata chance ya kuingia kwenye ubongo wanaharibu network ya ubongo na madhara yake ndio kifafa na hata kichaa. Tegu wa ng'ombe wanaishia kwenye tumbo na kusababisha maumivu ya tumbo na kuharisha. Wao hawaingii kwenye ubongo. Hiyo ndio tofauti.
mie naona blue tu ka vp nyie endeleeni 2 kula mtajuana na mungu kesho
Japo topic ya Zamzani, Ina maana hawajaanza kuleta kifafa siyo? Nguruwe kaanza kuliwa lini na ni miaka mingapi na ni wangapi wamepata kifafa? Utafiti unaofanywa Tanzania una mashaka sana sometimes
Kila kitu kina madhara hadi mi sitaki kusikia hii kitu inaitwa UTAFITI kwani kuna mtu ambaye hatakufa
Hapa hatusemei kifafa cha kurithi, hivyo nacho kipo. Hiki cha tegu wa nguruwe kinashambulia mfumo mkuu wa fahamu ulioko kwenye ubongo
sawa mkuu, hata hivyo bado hakuna hatari kwani dawa za minyoo zipo kwenye maduka ya dawa za mifugo, hata ngombe wanadungwa dawa hizi, na zaidi ya yote nguruwe ni white meat ambayo ni nzuri na salama kiafya ukilinganisha na ya ng'ombe ambayo ni red meat.wala red meat wapo kwenye hatari zaidi kuliko white meat
Hakika ni kuwa Agano la Kale katika Biblia imekataza ulaji wa nguruwe na akafanywa
kuwa ni haramu: Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao (Walawi 11: 7 8).
Agizo hilo limerudiwa katika Kumbukumbu la Shariah 14: 7 8 na pia Isaya 66: 17.
Na katika Agano Jipya, Yesu naye amesema kuwa hakuja kutangua shariah na mafundisho ya manabii bali kukamilisha (Mathayo 5: 17). Kwa ibara hiyo ni kuwa Yesu pia aliharamisha ulaji wa nguruwe.
Kama ni hivo basi waTanzania wote milioni 44 tutaumwa kifafa
Vipi kuhusu yule kitimoto wa polini maana yeye hujitafutia chakula mwenyewe!
nashawishika kuamini kuwa kitimoto ni mti wenye matunda...
Aaah! Jamani eeh! Huyu nguruwe 'swine', si ameharamishwa katika vitabu vya dini. Kwenye biblia hadi kuraan.
Hawajaisha na kitimoto kinaendelea kuliwa, hivyo watu lazima wajue namna ya kujikinga na ugonjwa ikiwa ni pamoja na elimu kwa wafugaji kuacha ufugaji huria.
Nazungumzia ule wa ng'ombe si zoonotic lakini magonjwa ni mengi. Hivyo ushauri huo ni wa jumla zipo njia nyingi za kujikinga na ugonjwa huo
ok
mkuu unasema CB sio zoonotic lakini wakati huohuo unawaasa wawe makini wakati wa kula nyama kama imeiva vizuri hapa unamaanisha kitu gani?. huu ni ukigeugeu na una-jeopardize taaluma ya udaktari kwa kuongea uwongo wa waziwazi.
kimsingi minyoo hii ya tegu ni Zooanthroponosis, kwa maana kuwa inaathiri binadamu kutokea kwa wanyama tofauti na TB ambapo inaathiri wanyama kutokea kwa binadamu. like it or not, that's is the fact.
hydatid cyst ni mnyoo inayosababishwa na mbwa ambayo ni hatari pia kwa binadamu inaweza kuleta kifafa.
na utamu wake wote ule dah ngoja nijisogeze kwa mangi asee
Nikukumbushe tuu hapa kuwa wale wa kwenye ng'ombe si kama wa nguruwe hivyo hawamdhuru binadmu (siyo zoonotic kwa lugha ya kitaalamu). Hpa ni kuwa makini na nyama iwe imeiva vizuri kabla ya kuliwa
Maisha ya sasa,kila kitu ni hatar kwa afya.Mungu aliyetupa kumilik na kutawala atuepushe na haya matatizo.
Tunapoelekea tutaanza kula vyura na nyoka kama nyama maana kila kitu hatar kwa afya
Ajabu ni kwamba huyo mtafiti ni muuzaji na mlaji mzuri wa kitimoto
kimsingi hata ng'ombe wanao minyoo wa aina hii wenye cyst wanaokaa kwenye nyama/misuli na moyo, ambapo kwa ng'ombe wanaitwa cystercercuss bovis (CB)na kwa nguruwe wanaitwa cystercercus cellulosae (CC). hivyo ngoma droo, wote walao nyama kwa ujumla wanakuwa katika hatari hii. pengine kwa nguruwe inaweza kuwa hatari kwakuwa sijajua machinjio ya nguruwe na ukaguzi wake na inaweza kuwa sio hatari kwakuwa maambukizi hayajafika kwenye eneo la mfugaji husika vilevile sio nyama zote za ng'ombe zinazoliwa zinapita kwenye machinjio pia.
stop worrying and start living.
Aisee ushanitamanisha sasa!
Hizi tafiti siku hizi kila kitu hakifai.Jana tu mwingine kanitumia kwamba tusiweke vyakula vya moto kwenye vyombo/vifaa vya plastik tutapata kansa hujakaa vizuri chumvi sukari sio nzuri mwishowe sasa tutaambiwa kulala kwenye nyumba ya bati sio nzuri kwa afya yako.
Inatisha, thanks for posting though!:A S thumbs_up:
Ngombe Hali kinywesi wala mizoga!!kesi yake tofauti na kiti moto!!kuna tinnea sollium hao ndo minyoo tegu!!yaaani haiteguki ni balaaa!!!!
Madhara ya kula nyama ya Nguruwe/Kitimoto kwa afya yako...
Rosemary Alvarez alijikuta akiwa na maumivu ya kichwa na mkono kukosa nguvu. baada ya kufanyiwa scanning ikaoneka kama ni "brain tumor", pindi alipofanyiwa upasuaji alikutwa na "mnyoo (taenia solium)" akiwa hai unakula brain yake. Chanzo hasa cha mnyoo huo ni kula nyama ya nguruwe ambayo kitaalamu anaprotein nyingi kuliko mnyama yoyote na hivyo kuvutia parasite wengi kwa mnyama huyu . Je ni watanzania wangapi wanapata uangalizi wa kugundua afya zao na wanakula nyama hii kila siku tena inayofugwa katika mazingira si salama?. soma zaidi kwenye link hii hapa chini
Source : ABC News: It's Not a Tumor, It's a Brain Worm
Angalia hapa Mchina huyu pia akitolewa minyoo mingi usoni ambayo pia ilisababishwa na utamaduni wa kula nyama ya nguruwe:
Eti huenda.... Narudia ... Huenda wengi tukapata kifafa.... Haya bana, .... Habari mpya...Huenda watembea kwa miguu wote wakagongwa na magari.... Huenda.... Hili neno hili haliwezi kuniachisha kitimoto.
Nini kifafa banaaaaaa....... Wakati kuna watu wanakunywa sumu kabisaaaaaa itakuwa kitimoto banaaaa...??? Wewe ogopa kifafa cha kwenye kitimoto, uje ukipate kichaa cha bangi, unga etc etc
Kwa hiyo aliharamisha kwa sababu ya HUENDA TUTAPATA KIFAFA...???
Mkuu hapa naona ni kama vile unapiga upepo rangi, utapoteza muda wako tu. Piga ua, walaji wa Noah katu hawatoacha kumla huyo mnyama. Labda waambiwe wakila watageuka matoashi may be ndio wataacha kumla Noah.
Hakika ni kuwa Agano la Kale katika Biblia imekataza ulaji wa nguruwe na akafanywa
kuwa ni haramu: "Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao" (Walawi 11: 7 – 8).
Agizo hilo limerudiwa katika Kumbukumbu la Shari'ah 14: 7 – 8 na pia Isaya 66: 17.
Na katika Agano Jipya, Yesu naye amesema kuwa hakuja kutangua shari'ah na mafundisho ya manabii bali kukamilisha (Mathayo 5: 17). Kwa ibara hiyo ni kuwa Yesu pia aliharamisha ulaji wa nguruwe.
Kuleni tu Mbuzi wa Kikatoliki mukiumwa Ma-DaktariMkuu hapa naona ni kama vile unapiga upepo rangi, utapoteza muda wako tu. Piga ua, walaji wa Noah katu hawatoacha kumla huyo mnyama. Labda waambiwe wakila watageuka matoashi may be ndio wataacha kumla Noah.
Ushauri wangu: Wewe waache tu waendelee kumla noah
kwenye matumbo yetu kuna mnyoo kamba (tape worm) hafi hadi siku utakayokufa..sembuse k'moto?

Wapi nimesema nakula Noah? Ama nunataka kuniwekea maneno mdomoni ambayo sijayatamka?
Kula tu kaka kitomoto Faida yake utakuja kuijuwa tu muda sio mrefu.
Samahani mkuu SHERRIF ARPAIO usije ukanikamata na kunipeleka kwa Tupac shakur jela.Wapi nimesema nakula Noah? Ama nunataka kuniwekea maneno mdomoni ambayo sijayatamka?