Teh teh teh!kama ni hivyo sasa tutaishi maisha ya namna gani?Hakuna kilicho salama mkuu labda matunda poli!!
Teh teh teh!kutokana na utafiti uliofanywa na wazungu!MziziMkavu, DW walisema ni kutokana na utafiti wa nani?
kimsingi dawa zote ni sumu. Zinapashwa kutumiwa kwa kiasi tu na kwa maelekezo ya daktari.
Mkuu hapa duniani kuna viatu na watu!Umegeuka teja wa dawa?
Mkuu hawa wafanyanyabiashara watatumaliza kwa tamaa zao za fedha!Kwanini kuna wakati ilitangazwa hivyo hapa nchini then serikali ikatoa tangazo ambalo liko ndani ya pharmacies zote from TFDA na wame-display (walipiga photocopy magazeti) ili ukiwa na doubt wanakuonesha kuwa hazina madhara. Kwanini? Kwanini jamani??
Teh teh teh!kwahiyo wewe ni teja?Daaah! am addicted to those diclopa
Pole sana mkuu kwa matatizo yaliyokukumba!Hii ni kweli kabisa. Mimi nimepata video ndoa vya tumbo mwenzao february 2014. Bado navitibia sasa. Chanzo ni diclopa nilizotumia November 2013.
Kweli mkuu hakuna namna tunavyoweza kujinusuru!Waswahili siku zetu zinahesabika!
Nyama ya nguruwe inaltea maradhi ya kifafa Hebu tembelea hapa bonyezaMkuu nyama ya nguruwe ina maradhi gani?
Sasa Serikali wakisema zina madhara hizo dawa zilizokuwepo huku watanunua akina nani?
Mkuu hawa wafanyanyabiashara watatumaliza kwa tamaa zao za fedha!
Teh teh teh!kutokana na utafiti uliofanywa na wazungu!
RADIO DORTCH VELLE YA MJINI KOLON UJERUMANI JANA ILITANGAZA DAWA ZA DICLOPA NA DICLOPHENAC KUWA NI HATARI KWA MATUMIZI YA BINADAMU IMEGUNDULIKA VIDONGE HIVYO HUSABABISHA KANSA YA INI NA UBONGO, UGONJWA WA MOYO, KIHARUSI, VIDONDA VYA TUMBO AU KIFO CHA GHAFLA, waokoe kwa KUWATUMIA sms hii UWAPENDAO.wasitumie vidonge hivyo, pia na wewe usitumie
TAHADHARI: Dawa za Diclopa na Diclofenac zadaiwa kuwa ni hatari kwa matumizi ya binadamu!
Radio Dutch Velle ya mjini Kolon Ujerumani jana ilitangaza kuwa Dawa Diclopa na Diclofenac ni hatari kwa matumizi ya binadamu, Imegundulika Vidonge hivyo husababisha kansa ya Ini na Ubongo,Ugonjwa wa moyo, Kiharusi, Vidonda vya Tumbo au kifo cha ghafla.
Chanzo: Radio Dutch Velle
Hakuna kilicho salama mkuu labda matunda poli!!
Umeamua mguu kwenye goti au sehemu gani ndugu? Pole sanaNimeumia maana tangu 27 march nazitumia baada ya kuumia mguu lakini bado nasikia maumivu! Na nahisi ukavu kwenye magoti. Nashukuru sana kwa taarifa hii! Kuanzia leo situmii tena.
Umeumia mguu kwenye goti au sehemu gani ndugu? Pole sanaNimeumia maana tangu 27 march nazitumia baada ya kuumia mguu lakini bado nasikia maumivu! Na nahisi ukavu kwenye magoti. Nashukuru sana kwa taarifa hii! Kuanzia leo situmii tena.