KARIA JF-Expert Member Joined Jan 15, 2011 Posts 717 Reaction score 473 May 2, 2014 #61 ba nso said: Umeumia mguu kwenye goti au sehemu gani ndugu? Pole sana Click to expand... Goti swahiba.
ba nso said: Umeumia mguu kwenye goti au sehemu gani ndugu? Pole sana Click to expand... Goti swahiba.
KARIA JF-Expert Member Joined Jan 15, 2011 Posts 717 Reaction score 473 May 2, 2014 #62 TUKUTUKU said: Mkuu sasa utatumia dawa gani kutibu ugonjwa wako? Click to expand... Mazoezi hasa ya baiskeli. Na nimeshauriwa kula sana makongoro.
TUKUTUKU said: Mkuu sasa utatumia dawa gani kutibu ugonjwa wako? Click to expand... Mazoezi hasa ya baiskeli. Na nimeshauriwa kula sana makongoro.
Mapi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2011 Posts 6,849 Reaction score 2,739 May 4, 2014 #63 MziziMkavu said: Fuatilia maneno yangu utaona madhara yake hiyo nyama ya nguruwe. Click to expand... nitafuatilia mkuu
MziziMkavu said: Fuatilia maneno yangu utaona madhara yake hiyo nyama ya nguruwe. Click to expand... nitafuatilia mkuu
jaffari yogo JF-Expert Member Joined Apr 3, 2014 Posts 685 Reaction score 148 Nov 13, 2014 #64 Arushaone said: Dawa za Diclopar na Diclophenac ziko madukani ila matangazo yalitoka mawili moja likikataza la pili likiruhusu kama hukuelewa! Click to expand... Sasa tufuate tangazo lipi Kati ya haya mawili? Hapa tuko gizani na tutakufa kama kuku. Serikali itoe tamko rasmi kuhusiana na haya madawa maana sasa mtu ataogopa kutumia dawa hizi za kizungu anapokuwa ameugua akihofia kufa.
Arushaone said: Dawa za Diclopar na Diclophenac ziko madukani ila matangazo yalitoka mawili moja likikataza la pili likiruhusu kama hukuelewa! Click to expand... Sasa tufuate tangazo lipi Kati ya haya mawili? Hapa tuko gizani na tutakufa kama kuku. Serikali itoe tamko rasmi kuhusiana na haya madawa maana sasa mtu ataogopa kutumia dawa hizi za kizungu anapokuwa ameugua akihofia kufa.