mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Justification ya hii sredi Tunautaabisha mwili kwa manufaa ya nani?
Mshana Jr you spoken well yesterday.Justification ya hii sredi Tunautaabisha mwili kwa manufaa ya nani?
Hivi ukiwa Mataga unapoteza Kila kitu na kusimama upande wa devil?Hakukua na Namna ya kudhibiti ule Umati uliofika pale, Ni AJARI kama ajari zingine za barabarani au huko majumbani kwenu, kukanyaga ni matukio yasio husisha degree yako au diploma hata huko ulaya yanatokea sana (enyi wasomi humu msiwaone hawana akili )
Mwenyezi Mungu awalaze marehemu mahali pema peponi
Tulionya mapema tukaonekana haters
Hichi chinini?SAWA MANABII WA KIZAZI HICHI.
Hivi unaona treni inakuja halafu unalala kwenye reli halafu useme siku ilikuwa imefika! Kama ni hivyo huwa tunachukua tahadhari za nini sasa? Watu si tungekuwa tunapika hata mimea yenye sumu tu kwa kuamini kama imefika imefika, kwa nini kwenye boti kuna life jackets? Kwa nini kuna alama za batabarani? Kwa nini waendesha pikipiki wanatakiwa kuvaa helmet?Hutaki nini sasa, hata mate yako mwenyewe yanaweza kukupalia tukakubadirisha jinaπ!
π³π³π³π³ Lugha gani hii?Mshana Jr you spoken well yesterday.
Hii sio post ya Jr ni ripoti ya kipolisi TemekeHakukua na Namna ya kudhibiti ule Umati uliofika pale, Ni AJARI kama ajari zingine za barabarani au huko majumbani kwenu, kukanyaga ni matukio yasio husisha degree yako au diploma hata huko ulaya yanatokea sana (enyi wasomi humu, msiwaone hawana akili )
Mwenyezi Mungu awalaze marehemu mahali pema peponi
Dah huyo JamaaHivi ukiwa Mataga unapoteza Kila kitu na kusimama upande wa devil?
Mataga hamjawahi kujali uhai na afya za WatanzaniaHakukua na Namna ya kudhibiti ule Umati uliofika pale, Ni AJARI kama ajari zingine za barabarani au huko majumbani kwenu, kukanyaga ni matukio yasio husisha degree yako au diploma hata huko ulaya yanatokea sana (enyi wasomi humu, msiwaone hawana akili )
Mwenyezi Mungu awalaze marehemu mahali pema peponi
Mlisema hakuna watu wengi kwakuwa hakupendwaTulionya mapema tukaonekana haters
Kisukuma mkuuπ³π³π³π³ Lugha gani hii?
Hichi chinini?