Naskia mwanamke akivaa suruali ni mhuni watu wanamshangaa.Hhaha mie sijaishi maisha hayo aisee nimezaliwa mkoani nikitoka nje naona mashamba ya chai basi....bas kulikua na discpline...!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naskia mwanamke akivaa suruali ni mhuni watu wanamshangaa.Hhaha mie sijaishi maisha hayo aisee nimezaliwa mkoani nikitoka nje naona mashamba ya chai basi....bas kulikua na discpline...!
Na hela enzi zile alikua anatoa baba tu...sio mama!Naskia mwanamke akivaa suruali ni mhuni watu wanamshangaa.
hatari sanaKwakweli inawezekana maana kuna wengne walikimbiza gari wakjikuta wako airport na nauli ya kurudi hawana ma washachoka😂😂
HahaaHhaha mie sijaishi maisha hayo aisee nimezaliwa mkoani nikitoka nje naona mashamba ya chai basi....bas kulikua na discpline...!
Yan we are the happiest people in the entire world sema vipimo wanavyotukia kupima furaha ni standard za mbele.hatari sana
hahahaaa hatuna stress tumekubali hali zetuYan we are the happiest people in the entire world sema vipimo wanavyotukia kupima furaha ni standard za mbele.
hapo sasaKwani wakikaa kuangalia kwa tv hawaoni vizuri?
kuna ndugu mmoja ametoka airport mpaka external kwa mguu,yaaani nilimshangaa mpaka mwishoKwakweli inawezekana maana kuna wengne walikimbiza gari wakjikuta wako airport na nauli ya kurudi hawana ma washachoka😂😂
😂😂😂Dah yani vibe la msafara unawachanganya watu mtu hadi ukimuuliza kinachokufanya ufukuze gar ni kitu gan hata wenyewe hajuikuna ndugu mmoja ametoka airport mpaka external kwa mguu,yaaani nilimshangaa mpaka mwisho
Nimecheka leo Dom kwa Tv naona mtu anakimbia kwa speed ya hatari yuko mbele krb na gari lile jeusi na yupo serious. Nikasema kweli tunatofautiana vipaumbele😂😂😂Dah yani vibe la msafara unawachanganya watu mtu hadi ukimuuliza kinachokufanya ufukuze gar ni kitu gan hata wenyewe hajui
Hahaha eti tunatofautiana vipaumbele. Yani au wanataka waonekane kwenye tv?Nimecheka leo Dom kwa Tv naona mtu anakimbia kwa speed ya hatari yuko mbele krb na gari lile jeusi na yupo serious. Nikasema kweli tunatofautiana vipaumbele
Labda kwakweli au ndo kama mdau mmoja huko juu ni kama wanapatwa na hali fulani hiviHahaha eti tunatofautiana vipaumbele. Yani au wanataka waonekane kwenye tv?
🤣🤣🤣🤣kesho haamki.huyo...ufukara ni dhambi sanaNimecheka leo Dom kwa Tv naona mtu anakimbia kwa speed ya hatari yuko mbele krb na gari lile jeusi na yupo serious. Nikasema kweli tunatofautiana vipaumbele
Baba alienda shamba,sasa sijui kama wakikubaliana na hili swala la naenda na watotoKhaaaa, nilijua maneno ya mtaani kumbe kweliiii???
hivi Mme wake naye kamruhusu kweli au ndio toka nitoke????
Imagine umeacha familia nyumbani unaenda mizunguko unasikia wamekufa wote huko Taifa eti kisa sijui nani huko......
Ghhhhhh....., Huyu marehemu atanisababishia BAN na Kufuru ngoja niishie hapa.
Pole Kwa Baba wa hii familia.
sijui ni umaskini wa fikra au tusemeje! naendelea kuwashangaa😂😂😂Dah yani vibe la msafara unawachanganya watu mtu hadi ukimuuliza kinachokufanya ufukuze gar ni kitu gan hata wenyewe hajui
akienda kutulia anabaki kujutia tuNimecheka leo Dom kwa Tv naona mtu anakimbia kwa speed ya hatari yuko mbele krb na gari lile jeusi na yupo serious. Nikasema kweli tunatofautiana vipaumbele