Habari members wenzangu, mimi mgeni hapa

Habari members wenzangu, mimi mgeni hapa

Wewe katika darsa la Magwiji wa Ushawishi/uongo wenye mvuto Una Fa!Fa!Fa!.
 
Habari members...
Mimi ni mgeni humu Jf na nineijua punde tu Jf kupitia Facebook. Naombeni mnielekeze ,mnipokee na kuwa namm humu jf. Nitafurahi mkinikaribisha vizur pia kama nitapata marafiki wengi wa jinsia zote..
Mm mgeni wenu Ray van Boy.
Ahsanteni
Sasa kama mgeni tukusaidieji pa kulala au
 
Karibu

Unachoandika usitetemeke kubadili sababu wengime wanakusakama hawapendi, jisimamie.

Ila hapana maneno machafu, watakuripoti utakula ban.
 
Back
Top Bottom