Habari members wenzangu, mimi mgeni hapa

Habari members wenzangu, mimi mgeni hapa

Ahsanteni kwa ukaribisho wenu mzuri..nawashukuru sana nafikir tutaendelea kuwa pamoja. Thanx mkuu melo kwa kutukutanisha watanzania vijana
 
Ahsanteni kwa ukaribisho wenu mzuri..nawashukuru sana nafikir tutaendelea kuwa pamoja. Thanx mkuu melo kwa kutukutanisha watanzania vijana
wewe me sijui cha ugeni wala uwenyeji kuna vitu unatakiwa ulipie kwanza..
kodi ya jina,kodi ya ugeni,kodi ya mapato,sadaka ya mtandao,hela ya umeme wa betri na mtandao,fedha ya udukuzi usomaji na uandikaji,ruzuku ya kazi yako,sadaka ya maafa,burungutu la chakula na maji ya kunywa plus kunawa,fedha ya mwenyekiti mpokeaji(ambae ndo mimi),fedha ya mfukuzaji(mimi),hela ya mpiga BAN! na mpigwa BAN yani ukipigwa ban unajilipia na aliekupiga unamlipa,kodi ya uwenyeji bila kusahau malipo ya ukweli na kudanganya kuwa wewe ni mgeni au si mgeni sambamba na kodi ya utumbuaji bila kusahau na tozo ya ulimbikizaji usisahau na ya utongozaji maana humu kuna dada zetu,nadhani umeelewa kila kodi hapo buku ten haya fasta kabla haujala BAN ya kukaidi kodi hizo!
 
wewe me sijui cha ugeni wala uwenyeji kuna vitu unatakiwa ulipie kwanza..
kodi ya jina,kodi ya ugeni,kodi ya mapato,sadaka ya mtandao,hela ya umeme wa betri na mtandao,fedha ya udukuzi usomaji na uandikaji,ruzuku ya kazi yako,sadaka ya maafa,burungutu la chakula na maji ya kunywa plus kunawa,fedha ya mwenyekiti mpokeaji(ambae ndo mimi),fedha ya mfukuzaji(mimi),hela ya mpiga BAN! na mpigwa BAN yani ukipigwa ban unajilipia na aliekupiga unamlipa,kodi ya uwenyeji bila kusahau malipo ya ukweli na kudanganya kuwa wewe ni mgeni au si mgeni sambamba na kodi ya utumbuaji bila kusahau na tozo ya ulimbikizaji usisahau na ya utongozaji maana humu kuna dada zetu,nadhani umeelewa kila kodi hapo buku ten haya fasta kabla haujala BAN ya kukaidi kodi hizo!
Khaaaaaaaaa yote hayo mimi tu. Mbona wakati najiunga sijaona mambo hayo eeeh hela nalipeje sijaona namba
 
Khaaaaaaaaa yote hayo mimi tu. Mbona wakati najiunga sijaona mambo hayo eeeh hela nalipeje sijaona namba
0123456789 namba zote za watu huwa zipo humo sasa baatisha yakwangu unitumie ole wako ukosee walahi unakula BAN! isiyopungua miezi 6 na fine ya hamsini elfu na hiyo ndo mitihani ya humu komaa ukishindwa lipa tozo ya kushindwa..
 
0123456789 namba zote za watu huwa zipo humo sasa baatisha yakwangu unitumie ole wako ukosee walahi unakula BAN! isiyopungua miezi 6 na fine ya hamsini elfu na hiyo ndo mitihani ya humu komaa ukishindwa lipa tozo ya kushindwa..
Ila wewe jamaa mhuuuu hata kama mm mgeni sio kwa kunionea hivyo daaah. Mm nitarudi Fb nilipozoea sasa
 
Mbona naambiwa sana kua mm ni Mondray. Ndio nani huyo na rayyoungr ndio nani
Humu watu hufahamika kwa uandishi na michango yao.
Pia mgeni wa jf hawezi kuwa na spidi ya uchangiaji kama ufanyavyo.
Kwa hakika wewe sio mgeni bali umeanzisha id mpya.
Ndio maana kila uchangiapo members wanapata mashaka na wewe.
 
Back
Top Bottom