Habari na historia nyngine ya vita vya majimaji sehemu ya kwanza

Usidanganye wa2, vita ya majimaji ni ya mwaka 1905-1907, Maji yaliyotumika ni ya mto rufiji, aliyefanikisha zoezi la kichawi kuzibadili risasi kuwa Maji kupitia dawa iliyochanganywa na Maji ya mto rufiji ni bibi mmoja ambaye alikuwa Mganga wa kienyeji, na ni kweli zilibadilika hadi alipotokea msaliti(miongoni mwa wapiganaji) aliyewafahamisha wajerumani siri hiyo na kwenda kumuua yule bibi, sasa lini kinjikitile alienda makka? Uislamu umeingiaje? Acha blah blah, wanahistoria wanasema IF U DON'T HAVE FACTS DON'T SPEAK!!!
 
Hii makala niliisoma kwenye ukurasa WA Facebook unaitwa historia ya afrika. Ile page iko poa na wanaandika historia adimu sana. Pongezi kwake mwandishi. Maana nimejua mengi sana kupitia kwake.
 
Nyie ndo walewale wa historia ya darasani unaelewa mtu akisema n ya miaka 1900-1910?au Unaongea tu ilimrad kuongea? Ulishawah kwenda makumbusho hata moja hapo ulipo? KMA huelew meng u better keep quit, usipende kukalil ww, Mwalimu kakufundisha 1905-1907,ndo umeishia hapohapo??? Halafu angalia kabla ya hzo tarh katikati na baada ya vita nn kilitokea ndo mantiki ya huu uz,, uwefuatiliaj Na makumbusho uwe unaend
 
Thibitisha.
 
ahsante kwa taarifa,
naomba nielekezwe mambo kadhaa hivi..;
1. kwanini vita hii licha ya ukubwa wake wa kupiganwa eneo kubwa na kwa ushirikiano wenye mfano kabisa hata kwa vizazi vijavyo, bado haionekani kupewa kipaumbele/kupaishwa kama ya mkwawa wa iringa ambaye hadi 'movie' zimeshachezwa katika kumtukuza na kumkumbuka?!!! vipi, inawezekana ikawa udini ulioutaja ni moja ya sababu?

2. kwanini maadhimisho ya vita hivi yanafanyika songea na sio kilwa ambako vita ndo ilianzia?

naomba kueleweshwa tafadhari!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…