Said Cosmetics
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 2,001
- 1,591
atakuwa na alej huyu ya ngozikatika upande wa koo, utakua una kiungulia ambacho kimekuwa kikubwa ambacho kimeleteleza mchubuko ambao unaumia ukimeza kitu,
katika upande wa kuwashwa jaribu kubadili sabuni unayotumia na mafuta pia sawa dorin
jaribu kutumia mziwa fresh chemsha kama nilivyosema usiweke sukari, kama utaweza ,kunywa asubuhi na jioni hakikisha maziwa unakunywa bila ya kitafunwa chochote... trust me tatizo hilo litakwisha.
AMA UNAWEZA PITIA NAKALA ILIYOCHAPISHWA HAPO CHINI KWA MAELEZO MENGINE YA KUKUWEKA KARIBU NA SOLUTION YA TATIZO LAKO!
Kiingulia ni acidity iliyozidi kufuatia kula kitu chenye acidity. Maharage yakilala yana ferment hivyo kutengeneza more acidity state hivyo ukiyala vimengenyo vya pelipeptaid, peptaid na pepton vyenye kazi ya kuyeyusha wanga vinatoa acid nyingi ukichanganya na ile ya maharage matokeo yake ni kiungulia.
Dawa ya kiungulia ni kunywa alcalinine yoyote au base ili kuineutralize ile acid na kutengeneza chumvi na maji hivyo kutokuwa na madhara tena.
Dawa ya kawaida sana ni vidonge vya magnesium tricilicate au actal. Majivu yakichanganyika na maji yanatengeneza alcaline solution ambayo pia inaneutralize ile acid. Tatizo la majivu hakuna kipimo sahihi ukizidisha, hata ile acid ya kawaida ya kusaga chakula inakuwa neutralized hivyo chakula kinashuka kilivyo.
Usipotafuta suluhisho la kudumu kuicontrol hiyo acid tumboni kwako, inaweza kumungunya mpaka ngozi laini ta tumboni hivyo kusababisha vidonda vya tumbo vinaitwa ulcers.
DAWA YA KUTIBU KIUNGULIA KWA TIBA MBADALA:
KIUNGULIA::
TIBA;:
Changanya glasi moja (250ml) ya maziwa na kijiko kikubwa 10ml) cha mafuta ya habat soda.Kunywa mchanganyiko huu na urudie kutwa mara tatu (1×3) kwa muda wa siku 5. tumia kisha uje unipe feedback chanzo.USICHOKIJUWA KUHUSU MARADHI YA KIUNGULIA
oky jarbu ushauri uliopewaWala haliumi kabisa ni kitu tu kinakereketa tu kinapanda na kushuka nikimeza mate
Na kuna watu wanasema cjui homa hapo inahusiana na nn kwenye koo?
Ukitoka juani na kwenda kivulini ghafla unawashwa pia?Kwanza nina tatizo lankuwashwa mwili mzima na natoka vipele vidogovidog hasa pale ninapotoka kuoga je tiba ni ipi na lingine kuhusu koo yaan nikimeza chakula nasikia kitu kinapanda na kushuka je nini shida naombeni msaada
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hujanielewa basi itakua huwa haikutokei ...Unamaanisha nn
Mwili unasafishwaje? Ahaha...hiyo ni Technolojia ya wapi? Inapatikana wapi?Hiyo yote ni kitu kimoja kinachosababisha uchafu/sumu/chemical mwilini. Na sio hivyo tu bali kujamba kwingi, kubeua, kupata joto bila sababu, kupenda vitu vya sukari nk ndo dalili hizo.
Safisha mwili then kula madini, pona kabisa
Ndio au muda mwengine nilishavua nguo,na nikitoka kuoga
Natumaini hiyo Loratadine itafanya kazi.Asante nitafanyia kazi
Au muda mwengine kabla ya kuogaNatumaini hiyo Loratadine itafanya kazi.
Niliwahi kwenda sehemu tulikua kikundi na wengi walipata hilo tatizo.Ilikua ni kama wewe wakishaoga mwili unawasha au wakihama juani kwenda kivulini au kivulini kwenda juani.Kuna bwana bado nna mawasiliano yake nitamwuliza alitumia dawa gani.Nikipata jibu nitakuwekea hapa pia.