Joyeuse
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 275
- 182
Nina tatizo la kitu kunizurura rohoni. Nikihoa naishia kutoa kohozi tu lakin chenyewe hakitoki, nikimeza hakimezeki na hata kinanikera hata nikijitapisha hakitoki. Msaada wane jaman.. Hali ina mwezi sasa..... Nimetumia dawa za kusafisha koo bila mafanikio.