Habari Njema: CHADEMA kufanya uwekezaji mkubwa kwenye shamba lake la Kibaha ikiwemo Ujenzi wa Chuo Kikuu cha Bavicha na Miradi ya Uzalishaji Mali

Ulitaka ukafundishe wewe huku ulitimuliwa kwa Cheti Feki ๐Ÿผ
Jo uko kama kuku wa kisasa, kuishi maisha ya kuajiriwa kumekudumaza akili ndiyo maana kila siku unanipakazia cheti feki,mimi sijawahi kufanya kazi serikalini wala kwenye mashirika ya umma hivyo sikuhitaji kufoji vyeti. Vyeti vyangu ni halisi na elimu yangu imeniwezesha kumudu maisha yangu hadi sasa bila kuajiriwa na badala yake nimeajiri watu na kuchangia pato la Taifa. Aliyekuwa na vyeti feki ni yule shujaa wako uchwara Magufuli.
 
Hilo Shamba RC hatalichoma moto?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ