Habari njema itawazukia muda mfu ujao kuhusu tiba ya UKIMWI

HaMachiach

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
3,417
Reaction score
6,149
Habari za Leo wanajamvi ni hivi ni miaka mitatu sasa uncle wangu alikuwa anahangaika kutengeneza Dawa ya mitishamba itakayo tibu Cancer na ukimwi hatimae majibu yamepatikana baada ya kuwatibu watu wa tatu mmoja Wa cancer wawili Wa ukimwi na majibu yameleta asilimia 100% jambo lililo jema nikuwa katika hao wenye ngoma kunakigogo mmoja alipata hiyo dawa amepona saivi anamsaidia uncle hiyo Dawa ikapimwe na mkemia then aitangaze japo anatoa tiba lakini hajatangaza hivyo watu hutibiwa kimya kimya siku serikali wakiithibitisha kuwa haina shida nitawapa address ya huko ila amini usiamini ngoma inatibika nimeyaona
 
Tuwasiliane,naomba namba!
 
Inawezekana ikawa kuna ukweli au laa....
But let us wait a time...

Watu wasiingie kichwa kichwa
 
😔 ACHA KULISHA WATU UPEPO!

Wapo jamaa wa tiba mbadala wanazo dawa za kupambana na cell za ukimwi zinazoshambulia white blood cell zinazoupa mwili kinga dhidi ya magonjwa.

Lakini hawawezi kuruhusiwa kutangaza hata kama serikali na wataalam pamoja na mkemia kathibitisha.


Dawa ya ukimwi haiwezi kugunduliwa Tanzania au Afrika, wenye dhamana na ugonjwa huo hawawezi kukubali rahisi hivyo utangaze dawa.
 
wizziiiiiii mtupuuuuuu, uzi wa matapeli waliojipanga kuwaibia waathirika pambafu zenuu!
 
Good point aiseee
 
Wewe ugonjwa unamilikiwa na watu huo au unataka kufanywa kama Dr sebi na wengineo, au unadhani dawa hakuna!???
Tiba mbadala mkuu ina mchango mkubwa sana katika kupunguza makali ya HIV...
Ila hapo kwenye kutibu kabisa nina walakini
 
Marekani wameanzisha tiba mpya ila ni kwa wagonjwa wapya. Wanasema tiba hii huponya kabisa.
 
Weka na picha mkuu,hasa ya kirus cha ukimwi.
Kama imetibu watu na wamepona mkemia ataleta miujiza gani.
Kama mkemia angelikuwa na uwezo si angetengeneza ya kwake?

Babu wa Loliondo mbona hakupeleka kwa mkemia? badala yake mkemia wa wakati huo nae alijikuta akipanga foleni kwa babi ili kusolve majanga yake.

Mbona waganga wa kienyeji kama huyo mjomba wako dawa zao wanauza bila ya kupeleka kwa mkemia?

Mkemia hana majibu, majibu ni ushahidi wa madaktari juu ya kupona kwa mgonjwa aliethibitishwa katika hali zote yaani kuwa mgonjwa kabla ya kutumia dawa makķkutokuwa nao na baada ya kutumia dawa husika.

Sasa kama habari hii ya dawa ya HIV ikawa kweli mwambie mjomba wako sangoma ajiandae kufa kwa shinikizo la damu kwani dalili ya kuingizwa mjini na wajanja iko wazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…