Habari Njema - Je Mnayajua haya?


Maendeleo gani Mkuu? Kwa hiyo hao Janjaweed na wakimbizi wanaokimbiliana Chad na wenyewe ni fix ya wazungu?

Mmarekani kama nchi nyingine za Ulaya hawawezi kuwekeza Sudan kwa sababu ya mambo yanayoendelea Dharfur. Sudan amemkumbatia mChina, kwa sababu huyu mwenzetu haulizi kitu. Mnataka silaha kuchinjana? Hizi hapa, tena kwa bei poa! Uranium imejaa kibao Canada, Australia na Kazakhstan. Kwa nini hiyo ya Sudan iwasumbue? Uranium sio dili kama unavyodhani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…