Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Wanabodi,
Kuna habari njema kwa Diaspora wetu, wale Diaspora ambao wako ughaibuni na hawajajilipua, watawekewa utaratibu kuwawezesha kupiga kura.
Hayo yamebainishwa leo Bungeni katika kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu, ambao mbunge fulani za Zanzibar aliuliza ni lini wana diaspora wa Tanzania, wataruhusiwa kutumia haki yao ya kidemokrasia ya kupiga kura.
Waziri Mkuu akajibu kuwa mchakato wa maandalizi ya sera ya diaspora unaendelea, ukikamilika, wana diaspora ambao hawajajilipua, ambao bado wana uraia wao wa Tanzania, watawekewa utaratibu rasmi kuwawezesha kupiga kura kwenye balozi za Tanzania nchini mwao.
Hili pia likifanyika kwa Zanzibar, then for sure, kuna chama fulani kule kitaagwa rasmi.
My Take.
Hili ni zuri, ila wasiwasi wa ushiriki wa diaspora kwenye siasa, isije kuwa ndio sababu ya kukataliwa kwa dual citizenship, turuhusu tuu dual citizenship ila Watanzania wenye dual citizens ndio wasiruhusiwe kupiga kura.
Hili mo moja ya vilio vya muda mrefu vya wana diaspora wa Tanzania.
P
Kuna habari njema kwa Diaspora wetu, wale Diaspora ambao wako ughaibuni na hawajajilipua, watawekewa utaratibu kuwawezesha kupiga kura.
Hayo yamebainishwa leo Bungeni katika kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu, ambao mbunge fulani za Zanzibar aliuliza ni lini wana diaspora wa Tanzania, wataruhusiwa kutumia haki yao ya kidemokrasia ya kupiga kura.
Waziri Mkuu akajibu kuwa mchakato wa maandalizi ya sera ya diaspora unaendelea, ukikamilika, wana diaspora ambao hawajajilipua, ambao bado wana uraia wao wa Tanzania, watawekewa utaratibu rasmi kuwawezesha kupiga kura kwenye balozi za Tanzania nchini mwao.
Hili pia likifanyika kwa Zanzibar, then for sure, kuna chama fulani kule kitaagwa rasmi.
My Take.
Hili ni zuri, ila wasiwasi wa ushiriki wa diaspora kwenye siasa, isije kuwa ndio sababu ya kukataliwa kwa dual citizenship, turuhusu tuu dual citizenship ila Watanzania wenye dual citizens ndio wasiruhusiwe kupiga kura.
Hili mo moja ya vilio vya muda mrefu vya wana diaspora wa Tanzania.
P