Habari njema kwa nchi, gesi nyingine ya Helium yagunduliwa Bonde la Ziwa Nyasa. Tanzania kuwa muuzaji kinara Duniani

Liganga na mchuchuma wanaokwamisha Ni Serikali kwa kuweka vikwazo lukuki,inahitaji umeme mkubwa zaidi ya megawatt tulisonazo Sasa na haupo,Hakuna miundombinu wezeshi Kama Barabara na relo so Hakuna investor atakuja.

Juu ya hayo Kimbuka chuma kipo kila mahala Duniani ukizingua wanasepa tofauti na Gas hii ambayo inapatikana sehemu chache Sana hapa Duniani na hatuhitaji maumeme meengi.
 
+ Buzwagi Gold Mine, Mgodi umemaliza muda wake, tumeachiwa mashimo tu
 
Unanufaika nini hata ikigundulika? Tutaendelea kushangilia hivyohivyo ila wanufaika ni vibaraka wachache tu
Usikariri maisha ukajua zama za zamani bado zipo..

Mradi ukianza commercial productions mgao utakuwa Kama huu wa gas ya Mtwara 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221201-100819.png
    86 KB · Views: 6
Helium ya mwekezaji huyo mtafiti. Kwa mujibu wa sheria zilizotungwa kwa mbwembwe na bunge la CCM ni kwamba mtafiti akipewa leseni ya kufanya utafiti atakacho kipata hapo chini ni mali yake serikali haina chake hapo itaambulia kodi kama illivyo kwenye migodi mingine. Ukumbuke mtafiti alitumia gharama zake kufanya huo utafiti
 
Hapa Nani anafanya Utafiti? 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221201-100819.png
    86 KB · Views: 6
Dah hata ya mtwara tulopangwa hivi hivi mpaka leo nasikia inaenda kenya kabla ya mtwara
 
Hawezi gundua mwingine afu mkagawana sawa ,tunachokipata ndio stahiki zetu'.

Ukitaka kikubwa weka teknolojia,staff na mtaji ugundue mwenyewe
Km ndo hivyo akagundue kwao yani wewe kwa akili ndogo tu kiwanja chako kina madini halaf mchimbaji akukadirie cha kukupa?? Pathetic bora yakae tu huko chini mpka wazalendo wa kweli watakapopatikana na kusaidia nchi. Mbona mwl aliacha? Huu ni upoyoyo na mindset zenu ndo zinarudisha nyuma taifa hili
 
Ndio unakadiriwa kadiri ya mlivyokubaliana kwa sababu hawakujileta Bali wewe ndio uliwaleta kwa vile huna uwezo..
 
Helium ilipogundulika mara ya kwanza yule Profesa mmoja katika University ya Uingereza alisema bei ya helium duniani inabadilikabadilika. President Magoofuli asubiri mpaka bei iwe nzuri. Yule Prof alikuwa anaitwa Andrew nani sijui.
 
Helium ilipogundulika mara ya kwanza yule Profesa mmoja katika University ya Uingereza alisema bei ya helium duniani inabadilikabadilika. President Magoofuli asubiri mpaka bei iwe nzuri. Yule Prof alikuwa anaitwa Andrew nani sijui.
Ni kawaida ya bidhaa yeyote,hata gold saizi imeshuka
 

Nchi yenye bahati ya rasilimali nyingi lakini ina uhaba wa viongozi sahihi, na haitakiwi iwe na kiongozi sahihi pale juu.

Rasilimali mtaendelea kuzishangilia tu kama mazuzu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…