kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,192
- 5,685
Hello bosses....
Jana Tarehe 20 April 2022 ilikua ni siku ambayo itaingia kwenye record ya maendeleo kwenye field ya Artificial Intelligence hasa hasa upande wa NLP & NLU (Natural language processing & Natural Language Understanding). Siku hio Amazon walitoa wazi dataset yenye lugha 51 zikiwa na annotation za utterances zao. Hii inaleta uwezekano wa kuandika programs ambazo zitaweza kuwasiliana na binadamu moja kwa moja kupitia sauti (voice recognition) zenye ufanisi wa hali ya juu zaidi ya ilivyo sasa
Dataset hio kwa jina la MASSIVE inapatikana github kwenye repo yao ya alexa (alexa/massive).
Binafsi naamini kwamba computers ni kama Pets kwa binadam, kama walivyo paka na wanyama wengine wa kufugwa. Hivyo basi ili kurahisisha uhusiano uliopo kati ya computers na binadamu hii field ya NLP ni muhimu sana.
Kama unavyoweza mwambia Mbwa akimbize mtu au mnyama fln ndivo inavyobidi iwe kwa hizi gadgets. Commands kama kupiga simu, kupiga picha, kuzima, kuwaka etc.... ziwe zinaweza kufikishwa kwa njia ya sauti kiuhakika tofauti na sasa ambapo functionality hio iko limited kwa baadhi ya lugha na lafudhi tu.
UPDATE
Kiswahili pia kipo kwa ISO code ya sw-KE (Wakenya mnatuibia sana Haaahaaaaa Cc MK254)
Hii attachment ina list ya lugha zilizopo
Kwa taaarifa zaidi soma kutoka kwenye blog ya amazon: Amazon releases 51-language dataset for language understanding
Peace........
~ kali linux
Jana Tarehe 20 April 2022 ilikua ni siku ambayo itaingia kwenye record ya maendeleo kwenye field ya Artificial Intelligence hasa hasa upande wa NLP & NLU (Natural language processing & Natural Language Understanding). Siku hio Amazon walitoa wazi dataset yenye lugha 51 zikiwa na annotation za utterances zao. Hii inaleta uwezekano wa kuandika programs ambazo zitaweza kuwasiliana na binadamu moja kwa moja kupitia sauti (voice recognition) zenye ufanisi wa hali ya juu zaidi ya ilivyo sasa
Dataset hio kwa jina la MASSIVE inapatikana github kwenye repo yao ya alexa (alexa/massive).
Binafsi naamini kwamba computers ni kama Pets kwa binadam, kama walivyo paka na wanyama wengine wa kufugwa. Hivyo basi ili kurahisisha uhusiano uliopo kati ya computers na binadamu hii field ya NLP ni muhimu sana.
Kama unavyoweza mwambia Mbwa akimbize mtu au mnyama fln ndivo inavyobidi iwe kwa hizi gadgets. Commands kama kupiga simu, kupiga picha, kuzima, kuwaka etc.... ziwe zinaweza kufikishwa kwa njia ya sauti kiuhakika tofauti na sasa ambapo functionality hio iko limited kwa baadhi ya lugha na lafudhi tu.
UPDATE
Kiswahili pia kipo kwa ISO code ya sw-KE (Wakenya mnatuibia sana Haaahaaaaa Cc MK254)
Hii attachment ina list ya lugha zilizopo
Kwa taaarifa zaidi soma kutoka kwenye blog ya amazon: Amazon releases 51-language dataset for language understanding
Peace........
~ kali linux