Habari njema kwa wajasiriamali na wafugaji

Habari njema kwa wajasiriamali na wafugaji

Hawa kuku niliwahi kutana nao Zambia ila kama ndo hawa basi mleta tangazo anapotosha sana, hawa kuku hawana uwezo wakufikia uzito huo na kama nadanganya hapa mleta tangazo aseme wanafikia huo uzito baada ya muda gani, ni kuku wa kawaida sana. Hapa ni watu kushoboka tu kwa kusikia jina nikija hapa na tangazo niseme nina kuku kutoka Alaska watu watashobokea sana, Chasha aje hapa aeleze walivyo. Ila ukweli ni kwamba kuna Mzambia mmoja alikuwa nao kule Lusaka ni wa kawaida kama kama kuku wengine
 
Last edited by a moderator:
Hawa kuku niliwahi kutana nao Zambia ila kama ndo hawa basi mleta tangazo anapotosha sana, hawa kuku hawana uwezo wakufikia uzito huo na kama nadanganya hapa mleta tangazo aseme wanafikia huo uzito baada ya muda gani, ni kuku wa kawaida sana. Hapa ni watu kushoboka tu kwa kusikia jina nikija hapa na tangazo niseme nina kuku kutoka Alaska watu watashobokea sana, Chasha aje hapa aeleze walivyo. Ila ukweli ni kwamba kuna Mzambia mmoja alikuwa nao kule Lusaka ni wa kawaida kama kama kuku wengine

ingekua vizuri ungefanya research ya kuku wa Malay before kucompare, karibu sana.
 
Nionavyo mimi hio bei ni ya brand , na kama unapenda unanunua tu na sio kupiga kerere nyingi oo sijui bei kubwa
 
Ngombe 2000, na mbuzi 8000 wanatakiwa kila mwezi for export. Serious suppliers only, utapeli na mishe mishe hamna.

Mimi ni kiungo tu.
 
Ngombe 2000, na mbuzi 8000 wanatakiwa kila mwezi for export. Serious suppliers only, utapeli na mishe mishe hamna.

Mimi ni kiungo tu.
Asante kwa info, kuna special qualifications/standards za hao mifugo? na ni kwenda nchi gani?
 
Mbuzi wasipungue uzani.wa kilo 10,, ngombe ndama wakubwa wa kuchijika.kwa nyama. BEI YA JUMLA

Export sio kazi ya muuzaji unless unao uwezo wa kusafirisha.
 
Mbuzi wasipungue uzani.wa kilo 10,, ngombe ndama wakubwa wa kuchijika.kwa nyama. BEI YA JUMLA

Export sio kazi ya muuzaji unless unao uwezo wa kusafirisha.

Averoes .... nimeanza ufugaji wa mbusi in large scale na kisasa please naomba tushirikiane kwa masoko
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mimi kwa kuongezea hawa jamaa wa hizo pande za arachuga wamenifanya nisiamini biashara ya m2 yoyote. Mim ninachotaka kutoka kwa mtoa uzi authibitishie umma w JF kwamba biashara anayoifanya haitakuwa ya maswaibu kama ya bwana kitomari.

Watu wamemtumia pea kitomari ikiwemo na mimi halafu jamaa kachikichia zile pesa na wala hakutuma chochote. Na hadi leo hapatikani. Sasa huyu bwana ajisafishe kwanza kabla watu hawajaanza kutuma pesa zao.
 
Hapa kilichobakia ipo siku m2 ataleta uzi hapa akisema anao kuku wa vuduku. Na watu watababaika ile mbaya, Ifahamike kwamba humu ndani kuna watu wajanja wajanja na wengine sio waaminifu. Nakumbuka kuna siku humu ndani kuna m2 alipendekeza hawa wanaofanya biashara humu ndani watangulize mali kwanza halafu pesa baadae.
 
tuko Sakina Kiranyi, unapandisha na barabara ya Songambele kama unapafahamu, barabara iliyo karibu na Sakina supermarket.
Bei yao ni Tshs 5,000 kwa vya siku na Tshs 7,000 kwa vya mwezi.
Karibu sana
Hiyo bei haitalipa kwa sisi wafugaji,bora tuendelee kununua mtaani sh 2000
 
Mkuu mimi kwa kuongezea hawa jamaa wa hizo pande za arachuga wamenifanya nisiamini biashara ya m2 yoyote. Mim ninachotaka kutoka kwa mtoa uzi authibitishie umma w JF kwamba biashara anayoifanya haitakuwa ya maswaibu kama ya bwana kitomari. Watu wamemtumia pea kitomari ikiwemo na mimi halafu jamaa kachikichia zile pesa na wala hakutuma chochote. Na hadi leo hapatikani. Sasa huyu bwana ajisafishe kwanza kabla watu hawajaanza kutuma pesa zao.
Pole kwa maswaiba, kiukweli sisi hatufanyi biashara ya hivyo ni waaminifu na tuna hofu ya Mungu na tuna goal ya kudumu kwenye industry kwa muda kwa hiyo tusingependa kuharibu reputation, na tunasema ukweli unapo toa order kama hatuwezi kwa muda huo tunasema na tunakupa tarehe ya uhakika ambayo tutaweza, na hatuchukui hela mpaka vifaranga vyako viwe tayari au tukiwa tunakaribia kukutumia. Karibu sana
 
Hiyo bei haitalipa kwa sisi wafugaji,bora tuendelee kununua mtaani sh 2000

Kwa kweli hii ni value for money, ni breed ya uhakika na itakuwezesha kuuza kuku kwa bei kubwa zaidi na pia utaweza kuza kuku baada ya muda mfupi kwa sababu ya maumbo yao makubwa. karibu
 
Asante kwa info, kuna special qualifications/standards za hao mifugo? na ni kwenda nchi gani?
Aisee babe S, mtu anachakachua uzi wako nawe unaingia kichwa kichwa ukidhani anatoa infos za ukweli?!
 
Last edited by a moderator:
Jamani hayo mayai ya kuku wa kisasa watu wanayakimbia. Kikubwa ni kukomaa na kuku wa kienyeji. Binafsi nimewekeza,japo sisimamii mimi hako kamradi kangu,kwa kias fulani kanapunguza ukali wa maisha.

Nina mpango within two years niweze kupanua mradi na kua ajira yangu rasmi. Nina kuku 70,nilianza na kuku 10,miezi 14 iliyopita
kwa siku nakusanya mayai 20 kuku 7 bado wanaendelea na shughuli yao ya kutaga na kuatamia majogoo walikuwa watatu na nimeshauza majogoo wengi waliozalishwa.

Nimewatengenezea senyenge/fensi hali inayopunguza gharama za chakula,kwa wiki maxmum ni tsh 25000 pmj na dawa km kuna chanjo ya magonjwa ya kuku
kuku wavifaranga
 
Back
Top Bottom