Habari njema kwa wapiga 'puli'

duh nlikuwa na mpango wakuacha sasa nasema mi na puli damdam.. Ha haa
 
Mkuu gody waache waongezeke Wapiga Punyeto ili wanaouza Dawa za Nguvu ya kiume wapate wateja. tuna piga vita kuhusu suala la kupiga Punyeto watu wenginendio kwanza wana sisitiza kupiga Punyeto,pigeni punyeto mtakula nyasi tu tunawangojeeni mupungikiwe na nguvu za kiume muje mutuone tuwapeni dawa.
 
duh nlikuwa na mpango wakuacha sasa nasema mi na puli damdam.. Ha haa
Mkuu New Nytemare tena kama ulikuwa unapiga kwa siku mara 1 ongeza japo mara 2 au 3 lakini ikifika baada ya mwaka njoo unione utakuwa huna tena nguvu za kiume ukikutana na shemeji hapo hapo utakuwa umemaliza haja yako na huwezi tena kuendelea na mechi kazi kwako mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Gody hawa watafiti wametuonyesha matokeo ya utafiti wao kwa watu wengi kama ilivyoona kwenye hiyo sample size yao. Sina hakika kwamba na wewe pia ulilinganisha hali iliyokupata na watu wengine kadhaa ambao nao walikuwa wahanga wa hiyo makitu ili kulinganisha kwamba mna matokeo yanayofanana ili uweze kufikia hilo hitimisho. Pia tatizo la kuwahi kufikia kileleni linaweza kusabishwa na mambo mengine mfano ukikutana na mwanamke ambaye umempenda au amekuvutia kupita kiasi basi raundi ya kwanza itakuja faster na unaweza kwenda several rounds! Lakini hili pia si tatizo kubwa kwani kuna mbinu za kupractice your organ muscles ili hatimaye uweze ku control when to ejaculate and reach maximum orgasm. So sioni ni kwa namna gani hili pekee limekutesa unless kuwe na madhara mengine ambayo hujayasema. Ningeweza kuelewa kama ungesema hii kitu imekusababishia kuwa una delay kufikia climax kwani in some cases mikono migumu inaweza kupunguza sensitivity ya penis, hasa kwenye kichwa, as compared to when inserted kwenye uke ambao naturally ni soft and with lubricants.
 


sjaelewa ni kwasababu gani unaipigia sana promo hii inshu kwa hilo sifahamu jibu unalo!
Lakin hata wauza(watengenezaji) bia wanasema ni nzuri inaleta Afya,sijui ina activate akili, ooh mara inanenepesha!!! Yote kwa yote kila mtu hapa anajua madhara yake na hasara zinazopatikana na watumiaji
ukiachilia mbali ni dhambi!! Na vitabu vya dini vimekataza!
kila mtu naakili yake kila siku watu wanalalamika humu kisa tatzo hilo hilo watao support hii kitu humu ndani wale wanaanza kupiga punyeto so bado kwenye utamu
nilishatoka humo na sababu ni hiyo hakuna nyingine mwili ni wangu!!
Ipo siku humu humu itakuja sera nyingine ya Cameroon kuwa wanaume na wa/ke wanatakiwa wanafanya mapenzi kinyume na maumbile siku moja moja ili kusafisha njia ya haja kubwa ili kutoa tatzo la kutokwenda haja yaani uwe unaenda toi mara kwa mara!!!


Ewe mtz amka akili ya kuambiwa changanya na zako!!
 
Weweeeee!!! Corner bar siendi tena nimepata mbadala wa soup
wapangaji wenzangu mjiandae kuchelewa kazini sitoki mapema
bafuni
 
Nani kasema acha uogo iyo yai lakike ni mkono wako jaman kuwen serious achen kupoteza kundi
I hope utasikia siku moja.
mimi nilisikia kutoka kwenye mahubiri ya dini.
 

Hapo red hivi vinasaidia nini?

Umefanyaje kuacha?
 
If 50 million people say a foolish thing, it's still a foolish thing. Alijisemea Anatole France.
 
Weweeeee!!! Corner bar siendi tena nimepata mbadala wa soup
wapangaji wenzangu mjiandae kuchelewa kazini sitoki mapema
bafuni

Watu mnafurahisha sana,tumia hata babycare ukiwa chumbani mwako na sio lazima uende bafuni. Kumbuka,kama wewe ni mubeba nondo ama una mikono kama lami nazihurumia hzo nyeti zenu maana lazma zijeruhiwe. Kwanin usiwe na njia mbadala ya mdada wa permanent? Mbona wapo kibao?
 
Dah..! ama kwa hakika hii ni habari njema sana kwa chama chetu....CHAWAPUTA oyeee....
 
Ni mwaka karibia wa tano huu tangu nimeanza kumasterbate na nguvu bado ninazo.

Siku zote inategemea ni jinsi gani unafanya huo mchezo,kwa wale wanaofanya kazi ngumu ndio huathirika zaidi sababu ya ugumu wa mikono yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…