bachelor sugu
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 2,689
- 3,646
Habari za siku nyingi waungwana..
Ewe Bachelor mwenzangu unayehangaika kutafuta mke sehemu mbalimbali hadi huku mitandaoni bila mafanikio hii ni habari njema sana kwako......Fuatilia.
Sio jambo la ajabu kwa mtu kukuunganisha na mwanamke ambaye anahisi ni chaguo linaloweza kukufaa kuwa mkeo iwapo utaondokana na ile mentality kuwa siwezi kutafutiwa mke...
Binafsi naomba nikueleze wewe bachelor unayehitaji mke kuwa mm nipo radhi kumuunganisha bachelor mwenzangu mmoja ambaye atakuwa na uhitaji wa dhati na binti mmoja ambaye mm sina uwezo wa kumuoa kutokana na sheria na mila zetu ila ni binti ambaye kiufupi ana sifa zote za kuwa mke ambaye kamwe km mwanaume unayehitaji mke huwezi kujutia kumuoa..Yaani kiugupi hata mm kama ingekuwa sio kikwazo cha mila zetu haki ya nani nisingekuwa bachelor mpaka leo..
Ni binti ambaye hajajichanganya na harakati zozote za mapenzi ambaye 60% kwa imani yangu ninaamini ni BIKRA lakini sio kwamba ni mlugaluga wa kijijini la hasha bali ni binti aliye na akili zake ila akaamua kutulia tu,hizo 40% naziacha kwa ajili ya mashaka ya kutambua akili za wanawake...
Sipo kwa nia ya kumuuza mtu,kumpigia promo wala nia nyingine yoyote bali kumsaidia kijana mwenzangu bachelor anayehangaika kutafuta mke mwema na aliye serious ktk jambo hili.
Utakayehitaji maelezo ya kina unaweza kunifuata Pm maana maelezo mengine siwezi kuyaweka hapa ila huko nitakueleza kwa kina.
Angalizo ni kwa aliye serious tu na uhitaji wa mke playboys wenzangu tuendelee tu na misako yetu ya kawaida.
Sharing is Caring
Sent using Jamii Forums mobile app
Ewe Bachelor mwenzangu unayehangaika kutafuta mke sehemu mbalimbali hadi huku mitandaoni bila mafanikio hii ni habari njema sana kwako......Fuatilia.
Sio jambo la ajabu kwa mtu kukuunganisha na mwanamke ambaye anahisi ni chaguo linaloweza kukufaa kuwa mkeo iwapo utaondokana na ile mentality kuwa siwezi kutafutiwa mke...
Binafsi naomba nikueleze wewe bachelor unayehitaji mke kuwa mm nipo radhi kumuunganisha bachelor mwenzangu mmoja ambaye atakuwa na uhitaji wa dhati na binti mmoja ambaye mm sina uwezo wa kumuoa kutokana na sheria na mila zetu ila ni binti ambaye kiufupi ana sifa zote za kuwa mke ambaye kamwe km mwanaume unayehitaji mke huwezi kujutia kumuoa..Yaani kiugupi hata mm kama ingekuwa sio kikwazo cha mila zetu haki ya nani nisingekuwa bachelor mpaka leo..
Ni binti ambaye hajajichanganya na harakati zozote za mapenzi ambaye 60% kwa imani yangu ninaamini ni BIKRA lakini sio kwamba ni mlugaluga wa kijijini la hasha bali ni binti aliye na akili zake ila akaamua kutulia tu,hizo 40% naziacha kwa ajili ya mashaka ya kutambua akili za wanawake...
Sipo kwa nia ya kumuuza mtu,kumpigia promo wala nia nyingine yoyote bali kumsaidia kijana mwenzangu bachelor anayehangaika kutafuta mke mwema na aliye serious ktk jambo hili.
Utakayehitaji maelezo ya kina unaweza kunifuata Pm maana maelezo mengine siwezi kuyaweka hapa ila huko nitakueleza kwa kina.
Angalizo ni kwa aliye serious tu na uhitaji wa mke playboys wenzangu tuendelee tu na misako yetu ya kawaida.
Sharing is Caring
Sent using Jamii Forums mobile app