Habari njema: Venezuela yaalikwa mkutano ujao wa BRICS+

Habari njema: Venezuela yaalikwa mkutano ujao wa BRICS+

State Propaganda

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2024
Posts
542
Reaction score
1,286
Mshindi wa kinyang'anyiro cha uchaguzi mkuu uliomalizika juma lililopita nchini Venezuela, Bwana Nicholas Maduro amepewa mualiko wa kuudhuria mkutano mkuu wa BRICS(jumuiya mpya inayokuwa kwa kasi zaidi duniani), utakofanyika katika mji wa Kazan-Urusi mwezi Oktoba mwaka huu.

Mualiko huu unaweza kuwa wenye tija kwa taifa hilo lililowekewa vikwazo vingi vya kiuchimi na mataifa ya magharibi ambavyo vilipelekea kuporomoka kwa uchumi, licha ya kuwa ndio taifa lenye utajiri mkubwa wa mafufa duniani.

Endapo Venezuela itakuwa nchi mwanachama wa BRICS+ basi tutegemee kuona mabadiliko chanya haswa ya kiuchumi.

IMG_20240805_222027.jpg
 
Putin na Shi sio watu wazuri,wameamua kuivuriga kabisa Marekani.
Kuikaribisha Venezuela ndani ya BRICS ni njia mojawapo ya kuipa ulinzi wa kijeshi na kiuchumi.
 
Afrika tuna fursa kubwa sana ya kutembelea huu upepo
Russia hawana noma jamaa wanajitafuta
Kuwa super kwa hiyo tukiwatumia hawa jamaa tunaweza kuvunja mikataba kadhaa
Umeona eeh tunaanza na ule wa barrick wa madini
 
Afu sisi ni siasa za ujamaa bhc tuh hatufuati cku tukipata rais mwenye maono hayo tutafika mbali chap ..
 
Msemaji wa wizara ya mambo ya nje Matthew Miller amesema Marekani itailinda israeli kwa hali na mali.

"Tumewaambia Iran waachane na mpango wao wa kutaka kuishambulia Israeli kwani kufanya hivyo kunaweza kupelekea kutokea mgogoro mkubwa Mashariki ya Kati.
US State Department spokesman Matthew Miller says that US will defend Israel.
Hatufikirii (marekani) hata kidogo kama kutatokea mashambulizi ya aina yoyote." Anasema Miller.

"We have made it clear to Iran that they must avoid escalation and that we will defend Israel in the event of an attack. We don't think this attack has to happen and we are trying to prevent it".
Screenshot_2024-08-06-18-59-24-94.png
 
Msemaji wa wizara ya mambo ya nje Matthew Miller amesema Marekani itailinda israeli kwa hali na mali.

"Tumewaambia Iran waachane na mpango wao wa kutaka kuishambulia Israeli kwani kufanya hivyo kunaweza kupelekea kutokea mgogoro mkubwa Mashariki ya Kati.
US State Department spokesman Matthew Miller says that US will defend Israel.
Hatufikirii (marekani) hata kidogo kama kutatokea mashambulizi ya aina yoyote." Anasema Miller.

"We have made it clear to Iran that they must avoid escalation and that we will defend Israel in the event of an attack. We don't think this attack has to happen and we are trying to prevent it".
View attachment 3063114
Vijana wakiambiwa humu, bila Marekani Israel anagongeka tuu kwa Muajemi wanabisha.....hapo wamarekani wenyewe wanajiapiza kuilinda Israel dhini ya Iran
 
Afrika tuna fursa kubwa sana ya kutembelea huu upepo
Russia hawana noma jamaa wanajitafuta
Kuwa super kwa hiyo tukiwatumia hawa jamaa tunaweza kuvunja mikataba kadhaa
Anajitafuta, unataka atunyonye zaidi ili iwe rahisi kwao kufika Super power?
 
Ile ya makinikia mpk jpm akavunja mkataba lissu akawaa anawatetea
Kwani haikuvunjwa hadi sasa? Nani aliruhusu Makanikia yaendelee ya safari kutoka pale Bandarini. Barrick wanachimba madini hadi Russia sijui unatambua hilo.
 
Ile ya makinikia mpk jpm akavunja mkataba lissu akawaa anawatetea
Unaweza kutupatia ushahidi wa huo utetezi au ulipelea katika kumwelewa Tundu Lissu kama watz wengine wengi?

Halafu unataka BRICS wakusaidie kuvunja mkataba ambao unasema tayari JPM alishauvunja! Au ulishakuwa renewed utujuze.
 
Back
Top Bottom