HABARI NZURI: Sporting Lisbon yatenga billioni 23 kwa Fei Toto

HABARI NZURI: Sporting Lisbon yatenga billioni 23 kwa Fei Toto

Sporting Lisbon ya Ureno imetenga USD millioni 10 kumnunua Fei Toto mwezi wa Januari. Hiyo itakuwa ofa ya pili kwa Yanga kuingiza mabilioni baada ya kumuuza Clement Mziza kinako clubu ya Marseille ya France.

Fei Toto atavunja rekodi ya mchezaji ghali kuuzwa kutoka Ligi ya Afrika.
Unakaa Kigogo, upanga au Nyagwa?
 
Sporting Lisbon ya Ureno imetenga USD millioni 10 kumnunua Fei Toto mwezi wa Januari. Hiyo itakuwa ofa ya pili kwa Yanga kuingiza mabilioni baada ya kumuuza Clement Mziza kinako clubu ya Marseille ya France.

Fei Toto atavunja rekodi ya mchezaji ghali kuuzwa kutoka Ligi ya Afrika.
Sporting Lisbon ya Karagwe au Korogwe?
 
Sporting Lisbon ya Ureno imetenga USD millioni 10 kumnunua Fei Toto mwezi wa Januari. Hiyo itakuwa ofa ya pili kwa Yanga kuingiza mabilioni baada ya kumuuza Clement Mziza kinako clubu ya Marseille ya France.

Fei Toto atavunja rekodi ya mchezaji ghali kuuzwa kutoka Ligi ya Afrika.
Kweli njaakalihatari!
 
Kwanza imebidi niangalie mwezi na tarehe ya leo. Nilidhani itakuwa tarehe 1 April 2022 kumbe ni Oktoba 6, 2022. Hii sio siku yako mkuu umekosea, subiri mwakani siku yenu tarehe 1 April 2023

Sporting Lisbon ya Ureno imetenga USD millioni 10 kumnunua Fei Toto mwezi wa Januari. Hiyo itakuwa ofa ya pili kwa Yanga kuingiza mabilioni baada ya kumuuza Clement Mziza kinako clubu ya Marseille ya France.

Fei Toto atavunja rekodi ya mchezaji ghali kuuzwa kutoka Ligi ya Afrika.
 
Yanga unaichukulia bilioni 23 Kama mzaha eee, Kwa taarifa yako hizo ni Dola milioni 10. Sasa nikuambie tu sporting Lisbon hawezi kutoa pesa hiyo kutoka Kwa mchezaji wa ligi yetu. Acheni utoto asee hiyo pesa siyo ya kuitajataja Kwa wachezaji wa Utopolo.
Kumbe walikuwa wanamaanisha bilion 23? Yanga bwana......[emoji16]
 
Sporting Lisbon ya Ureno imetenga USD millioni 10 kumnunua Fei Toto mwezi wa Januari. Hiyo itakuwa ofa ya pili kwa Yanga kuingiza mabilioni baada ya kumuuza Clement Mziza kinako clubu ya Marseille ya France.

Fei Toto atavunja rekodi ya mchezaji ghali kuuzwa kutoka Ligi ya Afrika.
Huyo Clement Mziza alienda kwa majaribio. Lakini hayuko kwenye squad ya Marseille.
 
Kwa hawa hawa utopolo a.k.a mavi fc waruhusu mchezaji aende Ufaransa?!!
Tena mchezaji anayeifunga Simba?

Wakimuuza nipo pale mniite ngoshi wane
 
Back
Top Bottom