ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Unakaa Kigogo, upanga au Nyagwa?Sporting Lisbon ya Ureno imetenga USD millioni 10 kumnunua Fei Toto mwezi wa Januari. Hiyo itakuwa ofa ya pili kwa Yanga kuingiza mabilioni baada ya kumuuza Clement Mziza kinako clubu ya Marseille ya France.
Fei Toto atavunja rekodi ya mchezaji ghali kuuzwa kutoka Ligi ya Afrika.
Yaani unapoteza muda wako kuamini porojo za Bin Kazumari! Huyo kiumbe anapenda sana kuisagia kunguni timu ya Yanga. Sijui walimfanya nini!!Mkuu weka basi na ushahidi hii habari ilipotokea?
Maana clement mziza anaonekana bado yupo
Mpuuzeni huyu mbumbumbu! Anawachezea tu akili zenu. Hakuna ukweli wowote ule.Kama ni kweli hili linaendakuwa pigo kwetu wananchi
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Sporting Lisbon ya Karagwe au Korogwe?Sporting Lisbon ya Ureno imetenga USD millioni 10 kumnunua Fei Toto mwezi wa Januari. Hiyo itakuwa ofa ya pili kwa Yanga kuingiza mabilioni baada ya kumuuza Clement Mziza kinako clubu ya Marseille ya France.
Fei Toto atavunja rekodi ya mchezaji ghali kuuzwa kutoka Ligi ya Afrika.
Roho mbaya haijengi broMpuuzeni huyu mbumbumbu! Anawachezea tu akili zenu. Hakuna ukweli wowote ule.
Kweli njaakalihatari!Sporting Lisbon ya Ureno imetenga USD millioni 10 kumnunua Fei Toto mwezi wa Januari. Hiyo itakuwa ofa ya pili kwa Yanga kuingiza mabilioni baada ya kumuuza Clement Mziza kinako clubu ya Marseille ya France.
Fei Toto atavunja rekodi ya mchezaji ghali kuuzwa kutoka Ligi ya Afrika.
Unazingua sana mkurugenzi.Roho mbaya haijengi bro
Sporting Lisbon ya Ureno imetenga USD millioni 10 kumnunua Fei Toto mwezi wa Januari. Hiyo itakuwa ofa ya pili kwa Yanga kuingiza mabilioni baada ya kumuuza Clement Mziza kinako clubu ya Marseille ya France.
Fei Toto atavunja rekodi ya mchezaji ghali kuuzwa kutoka Ligi ya Afrika.
hutaki kijana aende ureno kisa ni tegemeo? hutaki club ipate mabilllions? dah watu wa ajabu sana nyieUnazingua sana mkurugenzi.
Kumbe walikuwa wanamaanisha bilion 23? Yanga bwana......[emoji16]Yanga unaichukulia bilioni 23 Kama mzaha eee, Kwa taarifa yako hizo ni Dola milioni 10. Sasa nikuambie tu sporting Lisbon hawezi kutoa pesa hiyo kutoka Kwa mchezaji wa ligi yetu. Acheni utoto asee hiyo pesa siyo ya kuitajataja Kwa wachezaji wa Utopolo.
Na wanayanga kama kawaida yao wanajaa kwenye fremu yake anawageuza kama chapati vile.Yaani unapoteza muda wako kuamini porojo za Bin Kazumari! Huyo kiumbe anapenda sana kuisagia kunguni timu ya Yanga. Sijui walimfanya nini!!
Huyo Clement Mziza alienda kwa majaribio. Lakini hayuko kwenye squad ya Marseille.Sporting Lisbon ya Ureno imetenga USD millioni 10 kumnunua Fei Toto mwezi wa Januari. Hiyo itakuwa ofa ya pili kwa Yanga kuingiza mabilioni baada ya kumuuza Clement Mziza kinako clubu ya Marseille ya France.
Fei Toto atavunja rekodi ya mchezaji ghali kuuzwa kutoka Ligi ya Afrika.