Habari picha: Makamu wa Rais na Waziri Mkuu wakutana na kufanya mazungumzo

Leo ndo wamezungumza mara ya kwanza au ndo mara ya kwanza kupigwa picha mbele ya flat screen
 
Safari hii top three hatuna wachangamfu!!
wakukimbizana na dunia!!
Wakuivuta dunia kuja kuwekeza tz.
Wakushawishi nakulob ma investers wakubwa duniani.
Wakukaa round table na majanja ya dunia na kuwashikia chini...
Kazi tunayo...
 
Yaani huyo bimkubwa naye kakubali kuitwa chief yaani hao wanaume waliofanya hiyo kitu akili zao zilikuwepo kwa muda huo kweli eeh[emoji22]!
Hata nashangaa wanampa cheo kisichoendana na jinsia yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…