Aleee mvaha!!Mkangalage....Mwina kasi ndodo helaaaVpl Lazima tuingie kaka Iringa ni muda mrefu haijawahi kuwa na timu inayoshiriki ligi kuu.
Mpaka hapa tulipofika ni kwa taabu sana.
Wanapaluhepo Lunoge.
Hata me naona maana si kwa kichwa hikoHuyo refa ana mzinga wa nyuki kichwani?
Mbona kama ana Jipu,,View attachment 466149
Hii ilikuwa huko Iringa,Refa msaidizi alipoamua kuwatandika vichwa wachezaji "jeuri" waliotaka kumpiga muamuzi wa kati kwa madai kuwa anapeleka mambo kwa upendeleo.
Wachezaji hawa wawili walikula vichwa mpaka kupata majeraha,huku mmoja akilia hadharani kama mtoto mdogo.
Refa msaidizi amepewa adhabu kwa kosa hili...hawa ni wachezaji wa Mshikamano FC waliotaka kuleta vurugu baada ya kufungwa na "Wanapaluhengo Lipuli FC".Marefa wa siku hizi sio wa mchezomchezo!!!View attachment 466144
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Huyo refa ana mzinga wa nyuki kichwani?
Aleee mvaha!!Mkangalage....Mwina kasi ndodo helaaa
Mwisakite ipoindi imwii helaa
Kuna vichwa vinauma kaka, we acha tu.Hahahahaha...
Jamaa limelia kabisa...
Jinga kabisa
Ila unagugumia kwa ndani....Sio una-blast into tears kama mtoto..Kuna vichwa vinauma kaka, we acha tu.
Sasa mingine si mitoto ya mama.Ila unagugumia kwa ndani....Sio una-blast into tears kama mtoto..