Salaams kwenu,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 muislam, nafanya kazi kwa kuajiriwa kipato changu kinaniwezesha kumudu mahitaji yangu kwa ujumla. Namtafuta mchumba mchamungu, anaejihemu na kuheshimu wengine.
Alie tayari ani PM for more information
Asanteni
Salaams kwenu,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 muislam, nafanya kazi kwa kuajiriwa kipato changu kinaniwezesha kumudu mahitaji yangu kwa ujumla. Namtafuta mchumba mchamungu, anaejihemu na kuheshimu wengine.
Alie tayari ani PM for more information
Asanteni
Au apeleke posa kwa mtoto wa Imaam, maana wale watoto zao huwa hawaolewi kwa ridhaa zao bali Baba zao ndio uchaguwa muowaji.Nakushauri ukatafute masjid maalim
Pia umwambie kabisa kama utaongeza nyumba ndogo 3 kukamilisha round
OTIS
miaka 30?,kwa waislam ushaowa na kuacha wewe...