Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,557
- 7,367
Jamii Forum=Jamii Forums
Mdhoefu=Mzoefu...hapo aanza kujirekebisha kabla hujaingia ulingoni
But Karibu kijana,,kikubwa zingatia Itifaki[/QUOT
Asante sana kwa maneno ya hekima.Jamii Forum=Jamii Forums
Mdhoefu=Mzoefu...hapo aanza kujirekebisha kabla hujaingia ulingoni
But Karibu kijana,,kikubwa zingatia Itifaki
Karibu sana mkuu
Asante sana ledadaKaribu sana mkuu
Jinsia yangu ya kiume ndio maana ya lord eyesPicha na jinsia yako kuijua muhimu hapa
Samahani unamaanisha nini kusema hivyo?Hadi kufikia hapa, kidogo nimejiridhisha kwamba wewe ni mgeni na sio fekelo
Namaanisha.....S
Jinsia yangu ya kiume ndio maana ya lord eyes
Samahani unamaanisha nini kusema hivyo?
Nitajitahidi maana hali hilivyo sahivi nitabu sana hadi kwenye kona ya mitandaoKaribu sana mheshimiwa.
Jitahidi kupitia kanuni, sheria na taratibu za JF kifungu kwa kifungu, utapata raha sana!
Nini maana ya fekeloNamaanisha.....
Bila samahani
Nitajitahidi maana hali hilivyo sahivi nitabu sana hadi kwenye kona ya mitandao
Nini maana ya fekelo
Naona unajitahidi, ebu endelea polepole utakua mjanja na utatukosea adabu...... Maana hata wenzako walianzaga kama wewe
- Ushimen kweli wewe legendary wa jf
Asante nakuaidi sitakuwa hivyo mkuu.Naona unajitahidi, ebu endelea polepole utakua mjanja na utatukosea adabu...... Maana hata wenzako walianzaga kama wewe
Lord=bwana na Eyes=machoKaribu sana
Jina lako linamaana gani mkuu,,?
Asante sana mkuuKaribu sana JF............
Ubatizo wa kujua mambo ya humu.Boss niwie radhi lakini naona licha ya madai ya ugeni lakini inaweza kuwa umefanya ubatizo.