Karibu sana, na sisi tunategemea kujifunza toka kwako mkuu
mkwe hii ngoma ni bado unknown......Mkwe umefanikiwa kujua kajinsia?
Ukaguzi na uheshimiwe na MMU wote
Jizzy1 Umetokea wapi?
mi niliamua kukausha naona mtani umeiibua, lol!mtani Fixed Point unafahamiana na mgeni wetu?
Why me babu mi staki naogopa...Hebu nisaidie kujua kama ni he/she. Afu uniambie kwenye pm Filipo asijue.
Why me babu mi staki naogopa...
Habari wana jamii, ninafuraha kubwa kujiunga rasmi naiJF home of great thinkers kwa muda mrefu nimekuwa naingia kama guest, kwa kifupi nimepata faida nyingi sana kwa mada zenu mahususi. Ni natarajia kupata ushirikiano kutoka kwenu. Natanguliza shukrani, nawatakia baraka tele
Asante sana FP, heshima kwako.
yaani hapo nilipaona mwe ila nikaamua kumezea mpaka mtani wangu watu8 akaifurumua....Mkwe Fixed Point hebu njoo ntegulie hiki kitendawili. Kwamba ni aka nani? Kumbe unanifanyia kusudi kunificha. Matesha narudisha mahari walah.