Habari wana jf nombeni msaada tafadhali

size 96

Senior Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
128
Reaction score
152
Kwa yoyote aliepo Dar es Salaam na anamiliki shamba sehemu yoyote ile ya Dar na shamba limemshinda kwenye usimamizi
Liwe shamba la mifugo
Au shamba la mazao yoyote yale

Kijana wenu naomba ajira ya usimamizi wa mashamba yenu taaluma yangu ni kilimo na mifugo pia Kama unashamba lenye vijana wakazi ila usimamizi haupo vizuri natoa elimu juu ya usimamizi bora wa mashamba kwa maelewano

Kwa alie tayari tafadhari ani pm kwajili ya maelewano
 
Hujaeleweka. yaani wewe hupigi kazi, wewe ni kusimamia tu?. Halafu Dsm hakuna mashamba mengi labda nje kidogo kwa vibosile kivule, tegeta bunju. Lakini mashba hasa ni nje kama kisarawe bagamoyo mkuranga n.k
 
Hujaeleweka. yaani wewe hupigi kazi, wewe ni kusimamia tu?. Halafu Dsm hakuna mashamba mengi labda nje kidogo kwa vibosile kivule, tegeta bunju. Lakini mashba hasa ni nje kama kisarawe bagamoyo mkuranga n.k
Mkuu na kazi pia nafanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…