size 96
Senior Member
- Aug 31, 2019
- 128
- 152
Kwa yoyote aliepo Dar es Salaam na anamiliki shamba sehemu yoyote ile ya Dar na shamba limemshinda kwenye usimamizi
Liwe shamba la mifugo
Au shamba la mazao yoyote yale
Kijana wenu naomba ajira ya usimamizi wa mashamba yenu taaluma yangu ni kilimo na mifugo pia Kama unashamba lenye vijana wakazi ila usimamizi haupo vizuri natoa elimu juu ya usimamizi bora wa mashamba kwa maelewano
Kwa alie tayari tafadhari ani pm kwajili ya maelewano
Liwe shamba la mifugo
Au shamba la mazao yoyote yale
Kijana wenu naomba ajira ya usimamizi wa mashamba yenu taaluma yangu ni kilimo na mifugo pia Kama unashamba lenye vijana wakazi ila usimamizi haupo vizuri natoa elimu juu ya usimamizi bora wa mashamba kwa maelewano
Kwa alie tayari tafadhari ani pm kwajili ya maelewano