Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
karibu lkn vua viatu njeNatumaini mu wazima wa afya na mnaendelea vizuri na ujenzi wa taifa, ni mgen humu jamii forum naomba kukaribishwa..
Karibu Mkuu,.....Kula Like ya kwanza.Natumaini mu wazima wa afya na mnaendelea vizuri na ujenzi wa taifa, ni mgen humu jamii forum naomba kukaribishwa..
kuvua viatu tena?, lkn nashukuru kwa kunikaribisha nitavua..
huku tunawashiaga moto zilock na kufuri hakuna wakukutunzia hapaMwenyej wangu unabid unitunzie sasa..
kwani wa miaka 20 wananini..?Karibu sana,uone hoja nzito na nyingine zenye utoto mwingi maana humu wapo mpaka miaka 20.
Ikitokea post yoyote ya kipuuzi utasikia(watoto hao wa miaka ishirini bado wapo vyuoni na mashuleni wanatuchanganya na mada zao za kitoto)kwani wa miaka 20 wananini..?