issakwisssa
Member
- Dec 13, 2016
- 66
- 123
- Thread starter
-
- #21
Wamezicompare dhid ya land cruiserIpi sifa zake?ainisha sifa zale hasa kona ya gjafla tukio la ghafla ubora wa breki hasa za ghafla stamina ya mwendo barabarani hasa kwenye rat roads uwezo wa mwanga wa taa uwezo wa kuinuka uturivu wa ndani hasa kwenye korogetion nk.ebu ainisha hayo
Hili ndo gari ya Magufuli nyenginekila mtu na chaguo lake but according to me na serikal yangu haiwezi nunua hilo gari hata lingekuwa 100m halijakidhi viwango wala halina features nying kama cruiser v8... body na interior tu ndo nzur....
google patrol na cruiser v8 @ carbuyer au caradvice
Kabla ya Magufuli ulikuwa na gari gani? Mbona hata kipindi hiki bado naona number D mpya magari makali yanashushwa bandarini? Achana na siasa wana waaminisha hela hamnaSio kwa kipindi hiki cha makinikia
MhHii barabarani tunaiacha mbaaaliiii
Yah exactlyMh. Anatembelea km hilo mjini n kipindi kile cha uchaguzi ndio nikakiheshimu ilo gari
Jaribu uone Tesla model X SUV
Utayatukana hayo ma combustible
Kwa dunia tunayoiishi sasa hiyo qx80 ni old fashioned, like mbaula kwa msomali.Nakubali kama nigari yako ya kilasiku mjini. Ila kama ni road trip kijijini na familia usicheze na infiniti qx80
Haya maneno ni yakweli jaman? Cheki mashine bii qx80?Kwa dunia tunayoiishi sasa hiyo qx80 ni old fashioned, like mbaula kwa msomali.
Inawezekanaje hiyo,0000 km
Bei ni nzuri tu
Kwanzia 200ml huko
Unaletewa hadi kwako likiwa kwenye kontenaInawezekanaje hiyo,
Km 0000????
Unanunulia kiwandani??
Watanzania wengi hatujui magari zaidi ya toyota nissan ila kuna mashine hizo toyota na nissan ni wachumba mfano hii hapa ni INFINITY USA Utalinganisha na toyota L/cruiser nissan??Haya maneno ni yakweli jaman? Cheki mashine bii qx80?View attachment 538001View attachment 538002