BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 377
- 435
HABARI YA MJINI KWASASA NI MSOGA MARATHON, KUUNGURUMA JUMAMOSI HII JUNI 29 ILI KWENDA KUSAIDIA HUDUMA YA AFYA YA MAMA NA MTOTO
š„Usajili wake unaendelea nchi nzima, Zoezi la Ugawaji Vifaa kwa ajili ya kukimbia na Msoga Marathon linaendelea
š„Jisajili sasa upate vifaa vyako ili Jumamosi tukate upepo huku tukisaidia kuboresha afya ya Mama na Mtoto. Usafiri utakuwepo wa kwenda na kurudi
Hatimaye ni Jumamosi hii Juni 29, 2024. Mbunge wa Jimbo la Chalinze mkoani Pwani Mhe. Ridhiwani Kikwete kwa kushirikiana na Viongozi wenzake wa Chalinze wamekuja na MSOGA HALF MARATHON kwa ajili ya kukimbia wakati huo huo kuchangisha fedha ili kwenda kuboresha huduma za Mama na Mtoto kwenye Hospitali ya Wilaya ya Msoga.
Kutakua na Mbili za aina 3 kwa maana Km 5, Km 10 na Km 21 na lengo ni kuchangisha na kukusanya zaidi ya Milioni 330 ili kwenda kununua vifaa na kuboresha huduma za Afya kwa Mama na Mtoto pale Msoga Hospitali ambayo inahudumia wananchi wengi sana wa Wilaya ya Bagamoyo.
Jisajili sasa kwa Tigo kwa kupiga *150*01# kisha nenda namba 5 halafu 6 halafu 1 hatimaye 1 utakuta Msoga Half Marathon utajisajili kwa Tshs 35,000/= ili tukimbie huku tukienda kusaidia kuokoa vifo vya Mama na Mtoto. Kwa LIPA NO: 15840234 (MSOGA HALF MARATHON).
Kwa Mawasiliano zaidi piga 0782573880 au 0762210253 au 0713258815
š„Usajili wake unaendelea nchi nzima, Zoezi la Ugawaji Vifaa kwa ajili ya kukimbia na Msoga Marathon linaendelea
š„Jisajili sasa upate vifaa vyako ili Jumamosi tukate upepo huku tukisaidia kuboresha afya ya Mama na Mtoto. Usafiri utakuwepo wa kwenda na kurudi
Hatimaye ni Jumamosi hii Juni 29, 2024. Mbunge wa Jimbo la Chalinze mkoani Pwani Mhe. Ridhiwani Kikwete kwa kushirikiana na Viongozi wenzake wa Chalinze wamekuja na MSOGA HALF MARATHON kwa ajili ya kukimbia wakati huo huo kuchangisha fedha ili kwenda kuboresha huduma za Mama na Mtoto kwenye Hospitali ya Wilaya ya Msoga.
Kutakua na Mbili za aina 3 kwa maana Km 5, Km 10 na Km 21 na lengo ni kuchangisha na kukusanya zaidi ya Milioni 330 ili kwenda kununua vifaa na kuboresha huduma za Afya kwa Mama na Mtoto pale Msoga Hospitali ambayo inahudumia wananchi wengi sana wa Wilaya ya Bagamoyo.
Jisajili sasa kwa Tigo kwa kupiga *150*01# kisha nenda namba 5 halafu 6 halafu 1 hatimaye 1 utakuta Msoga Half Marathon utajisajili kwa Tshs 35,000/= ili tukimbie huku tukienda kusaidia kuokoa vifo vya Mama na Mtoto. Kwa LIPA NO: 15840234 (MSOGA HALF MARATHON).
Kwa Mawasiliano zaidi piga 0782573880 au 0762210253 au 0713258815