Habari za biashara,uchumi na uwekezani sio

Ros tomas

Member
Joined
Dec 11, 2017
Posts
48
Reaction score
36
Tanzania vyombo vya habari havijui kuripoti habariπŸ‘†πŸ‘†πŸ‘† hata theastafrican newspaper inavishinda. Eti mahakama kuunganishwa na mkongo wa taifaπŸ‘ŽπŸ‘ŽπŸ‘Ž badala kuchambua upanuzi wa mkongo wa taifa katika mahakama kiundani. Wanaripoti tukio badala kuchambua mipango ya ttcl. Hii inatokana na kukosa waandishi waliobobea fani hiyo. Mimi sijasoma hayo mambo lakini naona mapungufu yao upande wa hizi habari na nichache sana kutolewa hata sijui tunakwama wapi!?
 
Mkuu, unaongelea kuhusu wale watu walioenda kugombania elfu Moja toka kwa Irene Uwoya? Kama ni hao tambua kuwa wengi wao ni vishoka hawana hata hiyo taaluma ya uandishi.
 
Mkuu, unaongelea kuhusu wale watu walioenda kugombania elfu Moja toka kwa Irene Uwoya? Kama ni hao tambua kuwa wengi wao ni vishoka hawana hata hiyo taaluma ya uandishi.
magazeti yote nchini ukitoa ya kiingeleza ambayo angalau wananitaidi kutoa report nzuri mengine yaliyobaki hakuna kitu habari chache mpaka wafanyabiashara wananunua theeastafrican newspaper kuzipata hata kwenye TV za bongo hovyo
 
tatizo la bongo wanaofanya kazi za uandishi wa habari hawana taaluma hiyo wanfanya kwa kuigana tu.
#pathetic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…