Nitafutie mke hapo kwa mswati.Katika pitapita zangu rafiki yangu amenionyesha mtandao wa JamiiForums.
Nimeupenda sana kwa taarifa zenu ambazo ni up to date.
Nimejiunga nanyi leo natokea Gaborone Botswana Kl 350 to Johannesburg.
Nimeishi hapa miaka mingi sana na nimekuwa kama mzawa wa hapa.
Asanteni sana
Na king muswati akapate wapi? [emoji23]Nitafutie mke hapo kwa mswati.
..... wa botswana wabaguzi sana tena sana. Rudi bongo tujenge nchiKatika pitapita zangu rafiki yangu amenionyesha mtandao wa JamiiForums.
Nimeupenda sana kwa taarifa zenu ambazo ni up to date.
Nimejiunga nanyi leo natokea Gaborone Botswana Kl 350 to Johannesburg.
Nimeishi hapa miaka mingi sana na nimekuwa kama mzawa wa hapa.
Asanteni sana
Hapana ni SwazilandKule ni Eswatini mfalme ambako mfalme ana msimu wa kuoa kila mwaka sio Botswana
Hapana ni SwazilandKule ni Eswatini mfalme ambako mfalme ana msimu wa kuoa kila mwaka sio Botswana
Karibu sana kilingeni mkuu!!Katika pitapita zangu rafiki yangu amenionyesha mtandao wa JamiiForums.
Nimeupenda sana kwa taarifa zenu ambazo ni up to date.
Nimejiunga nanyi leo natokea Gaborone Botswana Kl 350 to Johannesburg.
Nimeishi hapa miaka mingi sana na nimekuwa kama mzawa wa hapa.
Asanteni sana
Kwamba mwamba yupo tu hapo Botswana ila analeta kelele mob sio?Mwenyewe niko london mbona nimetulia tu
Hilo jina walishalibadilisha. Wanaitwa Eswatini.Hapana ni Swaziland
Yeah nakumbukaHilo jina walishalibadilisha. Wanaitwa Eswatini.
Haiitwi Swaziland sasa hivi inaitwa EswatiniHapana ni Swaziland
Umepiga mle mle,subiri watu waliwe vichwa wale wapenda mtelezoAnawasogeza watu karibu, si unajua kuna wale wa kuomba connection? Ss hao ndo walengwa
Eswatini ni jina la hivi karibuni,maana walibadili jina toka Swaziland to eswatini,kama ilivyo kwa Burma to Myanmar.Hapana ni Swaziland
Kwa bahati mbaya Botswana hatuna mfalme, tuna Rais anechaguliwa kidemokrasia kila baada ya miaka 4Hivi tarehe za mfalme kujichagulia mke huwa nimiezi gani? Nataka kuja kutalii
MtanzaniaKaribu mkuu wewe ni mtanzania au ?
Wengi sana huku, asilimia 60 ya mature ladies ni single.Nitafutie mke hapo kwa mswati.
Nitakuja.wanawake ni
Wengi sana huku, asilimia 60 ya mature ladies ni single.