Habari zenu?? Nimerejea jukwaani

Habari zenu?? Nimerejea jukwaani

ID yako ndio ilikua kifungoni..lakini naamini ulikua unaperuzi humu bila wasiwasi...
 
Wakuu salama hapa.

Nikaribisheni jamani jukwaani baada ya kupewa Ban ya miezi mitatu.

Heri ya krismasi na mwaka mpya.

Kadri siku zinavyokwenda nitawajuza nini kilinisibu nikiwa kifungoni huko.

Lumumba hawajambo, eti kinachofanyika kwa mzee wa mwibara ile ni kafara!! Karibu mkuu.
 
Wakuu salama hapa.

Nikaribisheni jamani jukwaani baada ya kupewa Ban ya miezi mitatu.

Heri ya krismasi na mwaka mpya.

Kadri siku zinavyokwenda nitawajuza nini kilinisibu nikiwa kifungoni huko.
Vp ulipewa nafasi ya kujitetea....
ama ulichinjwa kama mbuzi katoliki?
 
Wakuu salama hapa.

Nikaribisheni jamani jukwaani baada ya kupewa Ban ya miezi mitatu.

Heri ya krismasi na mwaka mpya.

Kadri siku zinavyokwenda nitawajuza nini kilinisibu nikiwa kifungoni huko.
karibu sana!!
 
Wakuu salama hapa.

Nikaribisheni jamani jukwaani baada ya kupewa Ban ya miezi mitatu.

Heri ya krismasi na mwaka mpya.

Kadri siku zinavyokwenda nitawajuza nini kilinisibu nikiwa kifungoni huko.
Acha kushabikia fisiem
tapatalk_1549982209382.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu salama hapa.

Nikaribisheni jamani jukwaani baada ya kupewa Ban ya miezi mitatu.

Heri ya krismasi na mwaka mpya.

Kadri siku zinavyokwenda nitawajuza nini kilinisibu nikiwa kifungoni huko.
Kwahyo posho ya buku 7 hukuwa unapata kabisa sababu hukuwa unaabudu mungu mtu wa kijaani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom