Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,155
- 35,683
Habari zenu wanajamii,kwa wale tuliosoma MTWARA GIRL'S SECONDARY, Nasikia eti Mwl. Ngwada(Ngwadakulima) amefariki july mwaka jana,anaefahamu anijuze.
Kwa wasiomfahamu Ngwada, alikuwa mwalimu wa Biology pale shuleni,vilevile ndo mwl aliekuwa anaogopewa kuliko mwl.yoyote pale Mtwara Girl's sekondari.
NAOMBA MNIJUZE HII FUNUNU wana JF.
Kwa wasiomfahamu Ngwada, alikuwa mwalimu wa Biology pale shuleni,vilevile ndo mwl aliekuwa anaogopewa kuliko mwl.yoyote pale Mtwara Girl's sekondari.
NAOMBA MNIJUZE HII FUNUNU wana JF.