The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Amesahau Sharing is Caring kwahiyo watu wamemshare BE halafu wakamcare halafu wakaondoka naye.ndo vinaanzaga hivyo hivyo........................
safari hatua lakini, usikute baada ya kuaga kuna waliokuwa wanasubiria tu utoke wakafanya kazi yao.
be nice to TF, si alikuwa mshindi wa pili?
For the time being akiwa anamtafuta BE awe anajiliwaza na TF kwanza l.o.l
Amesahau Sharing is Caring kwahiyo watu wamemshare BE halafu wakamcare halafu wakaondoka naye.
Acha unoko wewe hebu nitafutie basi
Waambie FP na TF wakae kimya milele...
Acha kuniharibia basi St.Waambie FP na TF wakae kimya milele...
Last tym BE alisema hataonekana JF mwaka mzima na mawasiliano ya simu itakuwa hamna ndio maana namwambia Dena ajibanze kwangu.ngoja nifanye upelelezi, naweza kugundua nani alikuwa anakusaidia tumwombe amrudishe
Unamaanisha utatekeleza ombi langu gud to hear that.Nitatekeleza Mkuu
Habari zenu wakuu,
Angalizo tafadhali:
-Ingekuwa vizuri zaidi kama threads like this which are more like greetings - kutaka kujuliana hali and all that - why not move these kinda discussions kule kwenye JF Live Chat?
-Simply login and you can talk with whomever, mkajuliana hali and all that, ili kupunguza msongamano wa threads kwenye jukwaa and leave it for serious discussions, otherwise ndio maana wengine wamekuwa wakilalamikia MMU inapoteza hadhi yake - this might be one of the reasons.
JF Live Chat is much more easier to use na imewekwa for this particular purpose, please lets try and get ourselves familiar with it and with time wote tutakwenda sambamba.
Nashukuru kwa uelewa.
Bwana we nimeionaUmeona comment hapo juu lakini wanoko wengi