Habari zenu

Habari zenu

k93

Member
Joined
Apr 7, 2018
Posts
18
Reaction score
5
Nmekua nikihisi maumivu nyuma chini ya mfupa wa bega, hasa nikikaa na kwa mbali nikisimama ila nikilala yanapotea, anaejua hii dalili ya nini tafadhali?
 
Nmekua nikihisi maumivu nyuma chini ya mfupa wa bega, hasa nikikaa na kwa mbali nikisimama ila nikilala yanapotea, anaejua hii dalili ya nini tafadhali?
umekuwa ukibeba begi au vitu vizito kwa upande mmoja wa bega?
 
Back
Top Bottom