Nawapa salam tu ndugu zanguni mi mgen humu.
Nawapa salam tu ndugu zanguni mi mgen humu.
Na wewe ni mwana JR?
Na wewe ni mwana JR?
ahahahahahahahhaaaaaaaaaaaaaaa_mambo mwana JR...!
Hahahahaa...........mmmhhhh babu banah mbona mi umeniacha in a dillema state nielewesha basi kisirisiri wengine wasijue maanake kweli nisije tu nikawa nakaribisha tu hata sijui maana yake,eti babu jr ndo nini kweli.
mkwe, mwenzenu kasema ni mgeni hapa, msaidieni tu kumwonyesha njiaNa wewe ni mwana JR?
Hahahahaa...........
Muniwache Nipumuweeee