Hello! Ma bibi na ma bwana. Hamjambo wote? Mimi ninaitwa "kasiko" jina hili ni la kilima kimoja kikorofi kama ilivyokuwa mlima Sekenke, kiko kule kwetu karibia na nyumbani, katikati yake kuna barabara inakatisha, inaelekea kwenye kimji kidogo kizuri sana. Naomba mnikaribishe, nimekuja kusherekea sikuku ya Noel kwenu wana Jamii Forums. Asanteni