mzee Akilimali yupo bana...Manji wa nini?Na huku kiungo wa mbao buswigu aliyekuwa asainishwe na yanga mida hii ametia kandarasi msimbazi haha
Hii ya niyonzima itawavuruga sana yanga
Manji rudi uokoe jahazi
iko hivi kilichobaki ni kutangazwa t hadharani but niyonzima tushamalizana nae tangia jana mchana...sasaiv tunahangaika na wanasheria wetu kuangalia jinsi gani tutavunja Mkataba wa saimon msuva na yanga mana ametuambia hajalipwa mshahara wake wa miez mitatu sasa...
ahahahaLe Mutuz blog![emoji13] [emoji13] kidin'!!
uthibitisho wa picha tafadhaliTayari kashasaini
Ila yanga wakifanya hivyo huwa unasonga![emoji23] pole mkuuNdo maana mpira wa bongo hausongi
Mbona povu jingi si uwaache tu kakaMikia hawana akili hata siku moja. Badala ya kutulia wajenge timu kila siku kusajili wachezaji wapya tu, wengine wanaozea benchi wengine wanaachwa ndani ya msimu mmoja. Wendawazimu hawa wanadhani kusajili wachezaji lukuki ndio siri ya mafanikio. Hawana habari kwamba wachezaji wakizoeana ni faida kwa timu. Upuuzi mtupu, wala hawafiki kokote Malimbukeni wakubwa
View attachment 523524
Duuh teh tehHuyo nionzima bora aondoke tu,kwanza simpendi.mchezaji gani kazi kutoa mipasi kwa adui na kurudisha mipira nyuma,simba chukueni toaaaa hapa
Baki ivo ivo na unyumbu wakooSimba haijawahi kuchukua jembe Hata siku moja kutoka yanga, walichowahi kupata ni wastaafu na wale ambao yanga imeamua kuwaacha kama makinikia tu
ila kiukweli inauma yanga yote jamanii aah izi dharau wanaleta simba sasaMtu ambaye akiondoka Yanga ntalia ni KAMUSUKO NA CANAVARO TU.
Hawa wengine waache waende tu tunataka kujenga timu yenye Nidhamu Kwanza Pamoja na Pesa ila Nidhamu iwe ya Kwanza.
David Beckham,Christiano Ronaldo waliondoka Man utd ila Timu bado mpaka leo ipo.
Na hawa wachezaji mnaosajili ni kocha kapendekeza au kisa alikua Yanga kesho na keshokutwa akimpa pasi adui akafunga kauza mechi
Ushauri Kwa Yanga ni bora tupite kwenye Kipindi cha mpito kwa kuwekeza hata kwa Vijana na kubana matumizi kuliko kufanya usajili wa kufurahisha watu na mwishowe ndani ya msimu mchezaji kaachwa.
Simba Chukueni wote ila mwakani hatutaki kusikia mkianza kukimbilia FiFa tena
ila kweli tatizo ela sasaSimba waache kusajili sajili kwa sifa Harouna Niyonzima sio mchezaji wa kisajiliwa kwa zaidi ya million 30 na pia Simba inaviungo wengi, mahitaji ya Simba ni striker.