Habari zilizonifikia muda huu zinasema kwamba.....

Habari zilizonifikia muda huu zinasema kwamba.....

iko hivi kilichobaki ni kutangazwa t hadharani but niyonzima tushamalizana nae tangia jana mchana...sasaiv tunahangaika na wanasheria wetu kuangalia jinsi gani tutavunja Mkataba wa saimon msuva na yanga mana ametuambia hajalipwa mshahara wake wa miez mitatu sasa...

Jamani saa nyingine muwe na huruma hawa ni watani zetu sio maadui, sasa mkibomoa timu nzima tutakua tunashindana na nani sasa kwenye ligi.
 
Simba haijawahi kuchukua jembe Hata siku moja kutoka yanga, walichowahi kupata ni wastaafu na wale ambao yanga imeamua kuwaacha kama makinikia tu
 
Mtu ambaye akiondoka Yanga ntalia ni KAMUSUKO NA CANAVARO TU.
Hawa wengine waache waende tu tunataka kujenga timu yenye Nidhamu Kwanza Pamoja na Pesa ila Nidhamu iwe ya Kwanza.

David Beckham,Christiano Ronaldo waliondoka Man utd ila Timu bado mpaka leo ipo.

Na hawa wachezaji mnaosajili ni kocha kapendekeza au kisa alikua Yanga kesho na keshokutwa akimpa pasi adui akafunga kauza mechi

Ushauri Kwa Yanga ni bora tupite kwenye Kipindi cha mpito kwa kuwekeza hata kwa Vijana na kubana matumizi kuliko kufanya usajili wa kufurahisha watu na mwishowe ndani ya msimu mchezaji kaachwa.

Simba Chukueni wote ila mwakani hatutaki kusikia mkianza kukimbilia FiFa tena
 
Hatuna ubaya nionzima akiondoka yanga.. Muhimu ni timu kuwa na utulivu tu na kufanya tunachokiweza coz tushajua timu yetu ina hali mbaya.. All is well
 
_20170614_115058.JPG
 
Mikia hawana akili hata siku moja. Badala ya kutulia wajenge timu kila siku kusajili wachezaji wapya tu, wengine wanaozea benchi wengine wanaachwa ndani ya msimu mmoja. Wendawazimu hawa wanadhani kusajili wachezaji lukuki ndio siri ya mafanikio. Hawana habari kwamba wachezaji wakizoeana ni faida kwa timu. Upuuzi mtupu, wala hawafiki kokote Malimbukeni wakubwa


View attachment 523524
Mbona povu jingi si uwaache tu kaka
 
Simba haijawahi kuchukua jembe Hata siku moja kutoka yanga, walichowahi kupata ni wastaafu na wale ambao yanga imeamua kuwaacha kama makinikia tu
Baki ivo ivo na unyumbu wakoo
 
Simba waache kusajili sajili kwa sifa Harouna Niyonzima sio mchezaji wa kisajiliwa kwa zaidi ya million 30 na pia Simba inaviungo wengi, mahitaji ya Simba ni striker.
 
Mtu ambaye akiondoka Yanga ntalia ni KAMUSUKO NA CANAVARO TU.
Hawa wengine waache waende tu tunataka kujenga timu yenye Nidhamu Kwanza Pamoja na Pesa ila Nidhamu iwe ya Kwanza.

David Beckham,Christiano Ronaldo waliondoka Man utd ila Timu bado mpaka leo ipo.

Na hawa wachezaji mnaosajili ni kocha kapendekeza au kisa alikua Yanga kesho na keshokutwa akimpa pasi adui akafunga kauza mechi

Ushauri Kwa Yanga ni bora tupite kwenye Kipindi cha mpito kwa kuwekeza hata kwa Vijana na kubana matumizi kuliko kufanya usajili wa kufurahisha watu na mwishowe ndani ya msimu mchezaji kaachwa.

Simba Chukueni wote ila mwakani hatutaki kusikia mkianza kukimbilia FiFa tena
ila kiukweli inauma yanga yote jamanii aah izi dharau wanaleta simba sasa
 
Simba waache kusajili sajili kwa sifa Harouna Niyonzima sio mchezaji wa kisajiliwa kwa zaidi ya million 30 na pia Simba inaviungo wengi, mahitaji ya Simba ni striker.
ila kweli tatizo ela sasa
 
Ninyi mikia fc a. K. A FIFA tupeni point 3
Hata mngesajili Nani hamwezi kuchukua ubingwa bara

Nendeni kwenye kaburi LA James agrey siang, a mkaombe msamaha
Maana amekufa anawadai hela yake
 
Back
Top Bottom