Habari

Habari

Belleringal

Member
Joined
May 25, 2020
Posts
83
Reaction score
155
Mambo zenu ..kwa jina naitwa Angelina naweza sema sio mzoefu Sana na mazingira ya humu

..lakini nilichofurahi nimekuta positive people ambao unaweza omba ushauri na wakakushauri vizur tu , jokes za hapa na pale pia hufurahisha Asante Sana kwa kipindi kichache nimetangaza biashara yangu Kuna wapioipokea and am greatful for that ...asanteni Sana
 
Karibu sana Mkuu,hao kuku wanapatikana wapi? 😋😋
 
Mambo zenu ..kwa jina naitwa Angelina naweza sema sio mzoefu Sana na mazingira ya humu ..lakini nilichofurahi nimekuta positive people ambao unaweza omba ushauri na wakakushauri vizur tu , jokes za hapa na pale pia hufurahisha Asante Sana kwa kipindi kichache nimetangaza biashara yangu Kuna wapioipokea and am greatful for that ...asanteni Sana 😊 don't forget guys kwa kuku wa kienyeji walishiba unaweza ni dm nafanya delivery pia View attachment 1485905
Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT upate kufaidi.
 
Mambo zenu ..kwa jina naitwa Angelina naweza sema sio mzoefu Sana na mazingira ya humu ..lakini nilichofurahi nimekuta positive people ambao unaweza omba ushauri na wakakushauri vizur tu , jokes za hapa na pale pia hufurahisha Asante Sana kwa kipindi kichache nimetangaza biashara yangu Kuna wapioipokea and am greatful for that ...asanteni Sana 😊 don't forget guys kwa kuku wa kienyeji walishiba unaweza ni dm nafanya delivery pia View attachment 1485905
Nambari za simu?
 
Back
Top Bottom