Belleringal
Member
- May 25, 2020
- 83
- 155
Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT upate kufaidi.Mambo zenu ..kwa jina naitwa Angelina naweza sema sio mzoefu Sana na mazingira ya humu ..lakini nilichofurahi nimekuta positive people ambao unaweza omba ushauri na wakakushauri vizur tu , jokes za hapa na pale pia hufurahisha Asante Sana kwa kipindi kichache nimetangaza biashara yangu Kuna wapioipokea and am greatful for that ...asanteni Sana π don't forget guys kwa kuku wa kienyeji walishiba unaweza ni dm nafanya delivery pia View attachment 1485905
Nambari za simu?Mambo zenu ..kwa jina naitwa Angelina naweza sema sio mzoefu Sana na mazingira ya humu ..lakini nilichofurahi nimekuta positive people ambao unaweza omba ushauri na wakakushauri vizur tu , jokes za hapa na pale pia hufurahisha Asante Sana kwa kipindi kichache nimetangaza biashara yangu Kuna wapioipokea and am greatful for that ...asanteni Sana π don't forget guys kwa kuku wa kienyeji walishiba unaweza ni dm nafanya delivery pia View attachment 1485905